Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

"Wanawake na maendeleo, tufanye kazi tusonge mbele"
bridge: "lelelelelelelele, lololololololo kina mama"

Kumbe muuza nyuchi, shenzi kabis
Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.

Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"

IT IS HEREBY ORDERED THAT:

i. The caveat is fails.

ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.

iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.

iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.

v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.

vi. No order as to costs.

View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527


★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Wanawake tujifunzeeee,tusisubiri yatufike.
Kama mtu ameshafunga ndoa hata ya kiserikali halafu ndoa haijavunjika.Wewe UNATOLEWA ndoa ya kidini,my dia ndoa yako NI batili TU.hakikisha ndoa ya awali imevunjika MAHAKAMANI.
AKIJA MWENYE CHETI CHA MWANZO,Utakula za uso TU hata Kama umewekeza kiasi gani.
 
Kuna kesi nyingine kabla ya kuanzisha lazima upime urefu wa kina cha maji

Angejikalia kimya na kumalizana na ndugu, huenda angekuwa na furaha sana kuliko machungu aliyo nayo wakati huu.
Tatizo wateja wengi wanaongopewa na mawakili wenye tamaa kua watatoboa mradi wavute mpunga,hata ukidondokea pua wao hawana habari wamesha vuta chao!!
 
Acha kutetea ujinga huyo Vick mwenyewe kashindwa hata kuleta vyeti vya ndoa maana Rita waligoma kuandikisha ndoa Kwa Sababu Mzee Alikuwa na ndoa na hata wizara/waziri mwenye dhamana na ishu za ndoa aligoma kutokuitambua hiyo ndoa

Maelezo yote yapo hapo hapo

Wapi nimetetea uongo ?

Nimesema vicky na likwelile hawakufunga ndoa kwenye kanisa lolote. Na uzi wa hiyo ndoa uliletwa humu mwaka 2016 wakati ndoa inafungwa..

Narudia tena ndoa ya Vicky na Dr hakikufungwa kanisani.. hakuna pastor wala kanisa lolote lililofungisha ndoa yao.

Walifunga kiserikali.. ila ni ndoa batili sababu Dr likwelile alikuwa na ndoa ya mwanzo ambayo haikufikia divorce
 
Wanagombea kanisa bhana


Link ya uzi hii hapa soma mwenyewe


 
Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.

Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"

IT IS HEREBY ORDERED THAT:

i. The caveat is fails.

ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.

iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.

iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.

v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.

vi. No order as to costs.

View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527


★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Nasemaga wanawake wengi akili hawana.
 
kitu cha msingi wanaume wenzangu tuandike mirathi mapema tuisambaze hadi kwa mabalozi wa nyumba kumi, hawa wadangaji tuendelee kuwagonga kwa akili yani kuwagonga tusiache hadi wapate akili, yani kuwagonga tuendelee hata tusipowagonga watagongwa na boda boda
 
Lakini si ana mtoto na huyo marehemu? Wakati mwingine tuache vingine vitupite. Kama amezaa nae na ni watoto halali wa huyo mzee wanastahili pia.

Na kama mali imeandikwa jina langu huwezi kuiweka kwenye mali za marehemu. Maana nikisoma vielelezo kuna mali hapo inaonesha imeandikwa kwa jina la Vick. Tusishabikie sana maana hakuna msafi hapa. Basi tu za kwetu hazijulikani.
Mimi Kuna rafiki yangu ana mke wa ndoa yupo mwanza. Alikuja Kilimanjaro kikazi akakamatwa na lidada kweli kweli wakafunga ndoa ya bomani lkn yule kaka hakufanya pati Wala nini. Wakajenga majumba na magari ya kifahar. Bahat mbaya yule kaka akafulia yule mwanamke akabdilisha majina ya nyumba chapu akaweka majina yake lakini hizo NYUMA zipo maeneo ambayo hayajarasimishwa, kaenda tu kwa mtendaji akabdilisha majina. Akamfukiza mwanaume... Lkn naona ameshindwa kuziuza nyumba... So hata Vick anaweza kubadilisha majina Mali, kumbe sio zake. MUHIMU anaweza kueleza alizipataje?? Vick alichokosea kasubir mpaka likwe kafariki.. na ndoa yake ni batili kwelikweli

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Unazarau kinoma nakuhakikishia katika watanzania million 65 ni chini ya million 2 ambao angalau kwenye maisha yao wanaweza ipata million 100 wakiwa vijana

Alafu hujui maisha kufanikiwa sio ujanja au akili kuna watu wanaakili na wajanja na bado wanabangaiza alafu utakutana na watu aina ya wakinga washamba, elimu hawana na mjini atakukuta na atakupita kwenye mafanikio

Fumbo la mafanikio ni gumu sana hakuna atakayekupa jibu la moja kwa moja
Wakinga baba zao waliwapandia miti wakiwa watoto so hakuna muujiza Wala akili yeyeto hapo.
Hata wewe ukimpandia miti mwanao heka 10 tu kesho anakunja zaidi ya hizo
 
Back
Top Bottom