Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Tuliobahati kufika mahakamani kwa siku chache wakati wa kesi hii tulicheka sana na kujifunza. Picha linaanza anaombwa cheti cha ndoa katoa kumbe ni batili baada ya mahakama kujiridhisha. Ilikua hivi, jina la kanisa feki, pastor feki basi mahakamani ikaomba mshenga, msimamizi wa harusi jibu la Vick eti wooote kwa sasa ni marehemu.

Kwa jitihada za watoto halali wa Mzee wakafanya safari mpaka Sengerema kufika kwenye kanisa husika, kanisa lilkakata kutambua cheti hicho. Pia akafikiwa anaesemekana ndio kafungisha ndoa alirubuniwa majina yake kutumika kama pastor lakini yeye hana taaluma hiyo kabisa.

Ila anamtambua Vick kama jirani na class mate wake tu. Basi mahakama pia ikaomba picha ya harusi yao Vicky anasema zimepotea. Sema wazee marafiku wa Dkt. Likwelile wanasema tangu enzi za uhai wa marehemu alikua anasema Vick kwangu kafata mali na si vinginevyo.

Hivyo aliwachia OG mirathi ambayo imekuja kuwasaidia watoto leo. Dkt. aligawa fei too much sema mdangaji hakuridhika kabisa. Kila MTU alipata chake kabisa. Napenda kuwapongeza wazee wamjini kusaidia watoto wa marehemu hata pale mlipohitajika mliacha safari zenu na kuja mahakamani. Mungu awasimamie na awape maisha marefu mnoo.

Naomba nikutambue Mzee wa msafara, mkuu wa ruti, Mzee wa mjini na marafiki wooote wa marehemu na familia kwa ujumla. Sema Vick anapenda ulozi jamani mpaka nikimuangaliaga nabakia kusema hii ni Hatare na nusu. Full waganga kutoka kwao kanda ya ziwa ogopa mganga hajui kiswahili ni kilugha tu. Lakini leo mahakama imewashinda. Sema watoto wa marehemu acheni uzungu sana.
Anataka kudhulumu mali za watu aache mara moja
 
Lakini si ana mtoto na huyo marehemu? Wakati mwingine tuache vingine vitupite. Kama amezaa nae na ni watoto halali wa huyo mzee wanastahili pia.

Na kama mali imeandikwa jina langu huwezi kuiweka kwenye mali za marehemu. Maana nikisoma vielelezo kuna mali hapo inaonesha imeandikwa kwa jina la Vick. Tusishabikie sana maana hakuna msafi hapa. Basi tu za kwetu hazijulikani.
Ndoa ya kikristo haina wake wawili na huyo mzee anasemekana ana mkewe ...Ina maana ypo ndani ya ndoa yey huyo Vicky ni danga hata kama wamezaa hapa ndio tatizo.
 
Tuliobahati kufika mahakamani kwa siku chache wakati wa kesi hii tulicheka sana na kujifunza. Picha linaanza anaombwa cheti cha ndoa katoa kumbe ni batili baada ya mahakama kujiridhisha. Ilikua hivi, jina la kanisa feki, pastor feki basi mahakamani ikaomba mshenga, msimamizi wa harusi jibu la Vick eti wooote kwa sasa ni marehemu.

Kwa jitihada za watoto halali wa Mzee wakafanya safari mpaka Sengerema kufika kwenye kanisa husika, kanisa lilkakata kutambua cheti hicho. Pia akafikiwa anaesemekana ndio kafungisha ndoa alirubuniwa majina yake kutumika kama pastor lakini yeye hana taaluma hiyo kabisa.

Ila anamtambua Vick kama jirani na class mate wake tu. Basi mahakama pia ikaomba picha ya harusi yao Vicky anasema zimepotea. Sema wazee marafiku wa Dkt. Likwelile wanasema tangu enzi za uhai wa marehemu alikua anasema Vick kwangu kafata mali na si vinginevyo.

Hivyo aliwachia OG mirathi ambayo imekuja kuwasaidia watoto leo. Dkt. aligawa fei too much sema mdangaji hakuridhika kabisa. Kila MTU alipata chake kabisa. Napenda kuwapongeza wazee wamjini kusaidia watoto wa marehemu hata pale mlipohitajika mliacha safari zenu na kuja mahakamani. Mungu awasimamie na awape maisha marefu mnoo.

Naomba nikutambue Mzee wa msafara, mkuu wa ruti, Mzee wa mjini na marafiki wooote wa marehemu na familia kwa ujumla. Sema Vick anapenda ulozi jamani mpaka nikimuangaliaga nabakia kusema hii ni Hatare na nusu. Full waganga kutoka kwao kanda ya ziwa ogopa mganga hajui kiswahili ni kilugha tu. Lakini leo mahakama imewashinda. Sema watoto wa marehemu acheni uzungu sana.

Nahisi umeandika uongo.

Ndoa ya vicky sio halali sababu marehemu alikuwa na ndoa ya mke mmoja ambayo haijavunjika

Vicky kamata na likwelile ndoa yao haikuwa ya kanisani.. ilifungwa ndoa ya kiserikali kwa kufata taratibu za kiserikali

Uzi wa ndoa yao uliletwa humu siku ambayo wanafunga ndoa yao. Haikuwa ndoa ya kanisa lolote

 
Kama Hamis Mobet naye wote inspiration wa wanawake bongo

Ova
Ndugu yangu mrangi heshima sana. Hamisa ni wale zamani tulikuwa tunaita wanawake wa Magot. Wale wanawake waliokuwa wanajiuza kwa wazungu Magot kule posta, Dar. Kilichabadilika ni kuwa siku hizi wanakubalika kwenye jamii na wanasifiwa kama watu maarufu. Wapo wengi kweli.
 
Back
Top Bottom