Wala sio sababu ya mke Kaka.... Hata watoto kwa watoto ni ttzo nmeliona kwa familia ya mzee wangu... Mpk wao kwa wao wanakataana wewe sio wa uku na nn... Ko najifunza kitu kaka
Hawa wanawake Kaz ipo mshua.... Yaaan leo anasema baba yenu hanizid assets, hajui ata cash in hand au bank ni assets au kakariri mpk nyumba tuu.... Na kuita nyumba ety vijumba.... Anywe Savannah alale
Wala sio sababu ya mke Kaka.... Hata watoto kwa watoto ni ttzo nmeliona kwa familia ya mzee wangu... Mpk wao kwa wao wanakataana wewe sio wa uku na nn... Ko najifunza kitu kaka
mali gani wewe wanasiasa wana madeni ya kutisha angewezaje kusumbuka na mali za marehemu, wanawake wana roho ngumu ila pesa bwana hata uwe na nafasi gani kama huna akili pesa haitulii
Mahakama imekosea sana.
Vicki aliolewa kwa utaratibu wa kisheria na akapewa cheti cha ndoa na wala hapakuwa na pingamizi lolote. Mahakama zetu ziwe zinatqfakari kwa umakini kabla ya kuamua.
Viki alikuwa mke halali wa marehemu na anayo haki ya kumrithi mume wake.
Mimi nikifikiriaga kesho ya watoto naona Bora nibakie tu njia kuu na gumegume langu ni kubadili tu step za kudance nae.
Wanadamu hawana huruma na mirathi
Eeeh broh mirathii na Mali hz zimefarakanisha ndugu wengi fatilia km una uwezo waandkie urith.... Km ni biashara kubwa zenye matawi angalia mwanao anaeweza kuwa mwendelezaji na waliobak watakuwa washirka lkn apo pia uandke documents kisheria maake binadamu kweny hela kukataana ni dk tu
Sasa yeye Vicky mbona alionyesha cheti cha ndoa cha kanisani hapo mahakamani? Na pastor aliyeandikwa kwenye cheti hicho alimkatalia kuwa yeye siyo pastor!
Unazarau kinoma nakuhakikishia katika watanzania million 65 ni chini ya million 2 ambao angalau kwenye maisha yao wanaweza ipata million 100 wakiwa vijana
Alafu hujui maisha kufanikiwa sio ujanja au akili kuna watu wanaakili na wajanja na bado wanabangaiza alafu utakutana na watu aina ya wakinga washamba, elimu hawana na mjini atakukuta na atakupita kwenye mafanikio
Fumbo la mafanikio ni gumu sana hakuna atakayekupa jibu la moja kwa moja
Sasa yeye Vicky mbona alionyesha cheti cha ndoa cha kanisani hapo mahakamani? Na pastor aliyeandikwa kwenye cheti hicho alimkatalia kuwa yeye siyo pastor!
Vicky Kamata Afunga Ndoa na Dk. Likwelile Dk Servacius Likwelile. Dar es Salaam, Geita-Tanzania. Mbunge wa Viti Maalamu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vicky Kamata amefunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk Servacius Likwelile. Dk Likwelile amefunga ndoa hiyo baada ya...
Sasa yeye Vicky mbona alionyesha cheti cha ndoa cha kanisani hapo mahakamani? Na pastor aliyeandikwa kwenye cheti hicho alimkatalia kuwa yeye siyo pastor!
Unazarau kinoma nakuhakikishia katika watanzania million 65 ni chini ya million 2 ambao angalau kwenye maisha yao wanaweza ipata million 100 wakiwa vijana
Alafu hujui maisha kufanikiwa sio ujanja au akili kuna watu wanaakili na wajanja na bado wanabangaiza
Vicky Kamata Afunga Ndoa na Dk. Likwelile Dk Servacius Likwelile. Dar es Salaam, Geita-Tanzania. Mbunge wa Viti Maalamu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vicky Kamata amefunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk Servacius Likwelile. Dk Likwelile amefunga ndoa hiyo baada ya...
Acha kutetea ujinga huyo Vick mwenyewe kashindwa hata kuleta vyeti vya ndoa maana Rita waligoma kuandikisha ndoa Kwa Sababu Mzee Alikuwa na ndoa na hata wizara/waziri mwenye dhamana na ishu za ndoa aligoma kutokuitambua hiyo ndoa
Kosa kubwa la Vicky ni kuwanyanyasa watoto wa marehemu! Angekula nao vizuri wala yasingemkuta haya. Tatizo ni tamaa ya kutaka kumiliki mali peke yake huku watoto wakiteseka. Hakujifunza kwa K-Lyn?
Acha kutetea ujinga huyo Vick mwenyewe kashindwa hata kuleta vyeti vya ndoa maana Rita waligoma kuandikisha ndoa Kwa Sababu Mzee Alikuwa na ndoa na hata wizara/waziri mwenye dhamana na ishu za ndoa aligoma kutokuitambua hiyo ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.