Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Dada zetu wanafelii pakubwa sanaIngia Instagram utacheka mpk ufe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada zetu wanafelii pakubwa sanaIngia Instagram utacheka mpk ufe
Si kuna kashifa ya ndoa hewa aliwahi kuigiza(kuingizwa) mkenge!Halafu Vick ni mshirikina first class, huyo Likwelile alikuwa na mtu wake permanent namuhifadhi jina huyo Malaya akampinduwa yule Dada wa watu ambayeni very decent, educated and bossylady too akauvaa huu mkenge wa huyu Malaya first class akaolewa yeye.
Uchawi upo ndugu zangu, believe that.
Kumbe jamaa ndo aliingia mtinii.... Naipata hio habari Tena ndo ingefungiwa mbez bch romanSi kuna kashifa ya ndoa hewa aliwahi kuigiza(kuingizwa) mkenge!
Jamaa likamchumbia, biarusi katandaza kadi mpaka Bungeni na michango chekwa ikachangwa.
Siku ya harusi jamaa likaingia mitini.
Ana gundu gani lakini huyu binti?
Wapo majaji wa hivyo trust me. Kuna judgement nyingi ni kichefuchefu. Kuhusu hii Sina uhakika.Hapo hata mimi nimeishiwa na maneno. Sema nafarijika kuwa hilo bandiko ni la kutengeneza tu, siyo hukumu ya Judge, hawezi kufanya makosa ya kjinga namna hiyo.
Barua haina muhuri wala tarehe.
Hapo anarushwa roho Vicky Kamata, kimtandao.
Tusiamini kila linaloletwa kwenye hii mitandao.
Noma sana!Halafu Vick ni mshirikina first class, huyo Likwelile alikuwa na mtu wake permanent namuhifadhi jina huyo Malaya akampinduwa yule Dada wa watu ambayeni very decent, educated and bossylady too akauvaa huu mkenge wa huyu Malaya first class akaolewa yeye.
Uchawi upo ndugu zangu, believe that.
Ndoa ya mke mmoja haiwezi kuwa ndoa ya wake wengi, Likwelile alikuwa na ndoa ya mke mmoja na hajadivorce.Naombeni hukumu nzima ili nijue hasa kwa nini mahakama inasema hiyo ndoa ilikuwa batili.
Ila nyie wakaka jamani,mi sina nguvu za kucheka"Wanawake na maendeleo, tufanye kazi tusonge mbele"
bridge: "lelelelelelelele, lololololololo kina mama"
Kumbe muuza nyuchi, shenzi kabisa
DuhHuyu si ndo inspirational wa wanawake Tanzania?? Aliwaimbia mpaka wimbo wafanye kazi wapate MAENDELEO??
Kumbe kazi kudanga??
Kusuburi watu wafe akadai mirathi kortini??
In this world trust nobody!!!
Lakini si ana mtoto na huyo marehemu? Wakati mwingine tuache vingine vitupite. Kama amezaa nae na ni watoto halali wa huyo mzee wanastahili pia.
Na kama mali imeandikwa jina langu huwezi kuiweka kwenye mali za marehemu. Maana nikisoma vielelezo kuna mali hapo inaonesha imeandikwa kwa jina la Vick. Tusishabikie sana maana hakuna msafi hapa. Basi tu za kwetu hazijulikani.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]"Wanawake na maendeleo, tufanye kazi tusonge mbele"
bridge: "lelelelelelelele, lololololololo kina mama"
Kumbe muuza nyuchi, shenzi kabisa
Tamaa za kipumbavuDada zetu wanafelii pakubwa sana