Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Ana nyumba ya ghorofa kibwegere kikwete alomjengea mtoto yule wa kiume alozaa naye
Tamaa tu
Na tamaa ni dhambi
Tamaa za mali tena sio za kuchuma kwa nguvu na jasho lake anataka hadi kuleta dhuluma,alikua anawajibu hovyo watoto na akijua hatafanywa kitu si anajiona yeye ni kada atawekewa mazingira ya ushindi,inasikitisha sana
 
Suala la mume au mke wa mtu ni irrelevant kwa kitu ambacho kina jina lake. Huwezi kugawa mali za mtu. Zenye jina la Likwelile yah unaweza kugawa.

Pia hujui watu ndani walikutana na nini mpaka wakafikia kuachana. Wakati mwingine usihukumu maana hakuna msafi. Ndo maana ikaandikwa aliye msafi na awe wa kwanza kurusha jiwe.

Ni wrong kugawa mali iliyoandikwa kwa jina la huyo mwanamke au jina la mtoto unless hakimu aoneshe kuwa lilibadilishwa kwa njia isiyo halali. Mahakama imefungwa kwenye kufanya maamuzi kwa yale mambo ambayo imeletewa. Haina mamlaka ya kuspeculate hata kama ni kweli au ni uongo. Kwenye rufaa dada atashinda hapo mali zenye jina lake na la mtoto wake zilipoingizwa.
Kosa lake kubwa ni kuhodhi mali zote, akawakataa watoto wale wakubwa, yani alikalia kila kitu kuanzia assetts mpaka pesa za mzee...

Meanwhile Likwelile hawakudivorce na yule mke wa kwanza..

Halafu wewe unaongea ushuzi gani hapa!
 
Mahakama imekosea sana.
Vicki aliolewa kwa utaratibu wa kisheria na akapewa cheti cha ndoa na wala hapakuwa na pingamizi lolote. Mahakama zetu ziwe zinatqfakari kwa umakini kabla ya kuamua.
Viki alikuwa mke halali wa marehemu na anayo haki ya kumrithi mume wake.

Vicky ndoa yake inakosa mashiko kwasababu marehemu tayari alishakua na ndoa, huoni mahakama imesimamia haki, yani mali wachume marehemu na mke mkubwa halafu ajekula hawara, na cha zaidi watoto wa marehemu wapo , sheria ingekua inahuruma kama unavyotaka watu wengi wangepokonywa haki zao mkononi
 
Ndiyo kagongwa bure
Hajagongwa bure mkuu.

Si unajua mizee ikiangukiaga kwa dogo dogo, ni kama mbwa anavyojipeleka kumezwa na chatu, anakuwa anaelewa tatizo, lakini hukosa uamzi mbadala!

Ndiyo maana hujisogeza kuliwa huku akilia!

Na kwa mapenzi yenye sura hiyo, lazima mzee alikuwa akihonga pakubwa na anakula padogo[emoji38][emoji38].
 
Suala la mume au mke wa mtu ni irrelevant kwa kitu ambacho kina jina lake. Huwezi kugawa mali za mtu. Zenye jina la Likwelile yah unaweza kugawa.

Pia hujui watu ndani walikutana na nini mpaka wakafikia kuachana. Wakati mwingine usihukumu maana hakuna msafi. Ndo maana ikaandikwa aliye msafi na awe wa kwanza kurusha jiwe.

Ni wrong kugawa mali iliyoandikwa kwa jina la huyo mwanamke au jina la mtoto unless hakimu aoneshe kuwa lilibadilishwa kwa njia isiyo halali. Mahakama imefungwa kwenye kufanya maamuzi kwa yale mambo ambayo imeletewa. Haina mamlaka ya kuspeculate hata kama ni kweli au ni uongo. Kwenye rufaa dada atashinda hapo mali zenye jina lake na la mtoto wake zilipoingizwa.
Hakuwa mke halali, kwa hivyo vyote alivyopewa sio vyake kisheria.
 
Mahakama huwa zinasema kabisa mwanaume mwenye michepuko pambana mjengee mchepuko wako na umpe chake mapema, maana kisheria hawa watu wanakosa utetezi mbele ya mahakama, ni makosa ya marehemu kumdumbukiza hawara/mchepuko kwenye shimo la matatizo,hawara dai chako mapema yani omba mgao wako wakati marehemu yupo hai
 
Mahakama huwa zinasema kabisa mwanaume mwenye michepuko pambana mjengee mchepuko wako na umpe chake mapema, maana kisheria hawa watu wanakosa utetezi mbele ya mahakama, ni makosa ya marehemu kumdumbukiza hawara/mchepuko kwenye shimo la matatizo,hawara dai chako mapema yani omba mgao wako wakati marehemu yupo hai
Tatizo Vick anajifanya ni Malaya first class.

Hamjui kazaa na yule Mkwere wa New York mwenye tabasamu bashasha?
 
Lakini si ana mtoto na huyo marehemu? Wakati mwingine tuache vingine vitupite. Kama amezaa nae na ni watoto halali wa huyo mzee wanastahili pia.

Na kama mali imeandikwa jina langu huwezi kuiweka kwenye mali za marehemu. Maana nikisoma vielelezo kuna mali hapo inaonesha imeandikwa kwa jina la Vick. Tusishabikie sana maana hakuna msafi hapa. Basi tu za kwetu hazijulikani.

Vicky Hajazaa na marehemu hata mtoto mmoja.
 
Back
Top Bottom