Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huwa wanajisahau wanabaki kuponda raha pekee, angalia yule wa Mengi na Mrema wote walikuwa wanazunguka tu na hao wazee kuponda raha kama vile wana mkataba na MUNGUMahakama huwa zinasema kabisa mwanaume mwenye michepuko pambana mjengee mchepuko wako na umpe chake mapema, maana kisheria hawa watu wanakosa utetezi mbele ya mahakama, ni makosa ya marehemu kumdumbukiza hawara/mchepuko kwenye shimo la matatizo,hawara dai chako mapema yani omba mgao wako wakati marehemu yupo hai
Well saidHizi Kauli za usihukumu maana hakuna aliyemsafi ndio zinalea ujinga na madhambi kuendelea.
Maovu lazima yakemewe kwa nguvu zote.
Tunazungumzia hiyo grammar hapo. Yaani throughout hiyo judgement huwezi sema ineandikwa na judge wa mahakama kuu! Labda hakimu wa diploma!Maana yake Caveat haina mashiko kisheria.
Mnajifanya wajuwaji wakati hujui lolote, huwezi kuweka caveat (Zuio) kwa Mali isiyo yako.
Hapo hata mimi nimeishiwa na maneno. Sema nafarijika kuwa hilo bandiko ni la kutengeneza tu, siyo hukumu ya Judge, hawezi kufanya makosa ya kjinga namna hiyo.Yaani caveat is fails ndo nini sasa?
Suala la mume au mke wa mtu ni irrelevant kwa kitu ambacho kina jina lake. Huwezi kugawa mali za mtu. Zenye jina la Likwelile yah unaweza kugawa.
Pia hujui watu ndani walikutana na nini mpaka wakafikia kuachana. Wakati mwingine usihukumu maana hakuna msafi. Ndo maana ikaandikwa aliye msafi na awe wa kwanza kurusha jiwe.
Ni wrong kugawa mali iliyoandikwa kwa jina la huyo mwanamke au jina la mtoto unless hakimu aoneshe kuwa lilibadilishwa kwa njia isiyo halali. Mahakama imefungwa kwenye kufanya maamuzi kwa yale mambo ambayo imeletewa. Haina mamlaka ya kuspeculate hata kama ni kweli au ni uongo. Kwenye rufaa dada atashinda hapo mali zenye jina lake na la mtoto wake zilipoingizwa.
Hilo bandiko mimi siamini Tanzania kama kuna Judge anaweza kuandika uharo kama huo.Maana yake Caveat haina mashiko kisheria.
Mnajifanya wajuwaji wakati hujui lolote, huwezi kuweka caveat (Zuio) kwa Mali isiyo yako.
Mimi nkajua ndo mkewe? Ila nilijiulza maswal mengi Kuna kipnd vik alikuwa anaolewa na jamaa mmj ndo akaahirisha akaenda kwa mshkj nadhan alkuwq wizara ya fedha ukoHuyu si ndo inspirational wa wanawake Tanzania?? Aliwaimbia mpaka wimbo wafanye kazi wapate MAENDELEO??
Kumbe kazi kudanga??
Kusuburi watu wafe akadai mirathi kortini??
In this world trust nobody!!!
Halafu anataka Ulisi kudaadeki.Vicky Hajazaa na marehemu hata mtoto mmoja.
Kwani mke mkubwa wa marehem yupo hai?Vicky ndoa yake inakosa mashiko kwasababu marehemu tayari alishakua na ndoa, huoni mahakama imesimamia haki, yani mali wachume mke mkubwa halafu ajekula hawara mbaya zaidi watoto wapo, sheria ingekua inahuruma kama unavyotaka watu wengi wangepokonywa haki zao mkononi
Kamata pale kkoo na yenyw itolewe[emoji16][emoji16] Ila viki ana miradi yake sema Hana pakuongezea Tena labda adange"Wanawake na maendeleo, tufanye kazi tusonge mbele"
bridge: "lelelelelelelele, lololololololo kina mama"
Kumbe muuza nyuchi, shenzi kabisa
Ukweli ni huo alifoji ni tapeli haswaNimesoma hukumu. Kuna sehemu imeandika vicky alifoji mukhtasari wa kikao cha familia na kuupeleka mahakamani kuonesha familia imemteua kuwa msimamizi wa mirathi.
Hilo swala la kufoji litambana hata akikata rufaa
Yupo mpk leoKwani mke mkubwa wa marehem yupo hai?
Alikimbia ndoa ya kanisani kule kwao Geita kwa tamaa ya maliMimi nkajua ndo mkewe? Ila nilijiulza maswal mengi Kuna kipnd vik alikuwa anaolewa na jamaa mmj ndo akaahirisha akaenda kwa mshkj nadhan alkuwq wizara ya fedha uko
Sio kwamba alikaa bure no..... Ila ule urithi ama usimamizi hautakuwa unamuhusu....Kuna mwanamke anaekubali kugongwa bure kwenye dunia hii?
Tamaa inamtafunaSio kwamba alikaa bure no..... Ila ule urithi ama usimamizi hautakuwa unamuhusu....
Mbn ana nyumba nzurii pale sinza za viki mwenyw
Sasa "ineandikwa" ndio nini? Una uhalali wa kumkosowa mwingine?Tunazungumzia hiyo grammar hapo. Yaani throughout hiyo judgement huwezi sema ineandikwa na judge wa mahakama kuu! Labda hakimu wa diploma!
Halafu anataka Ulisi kudaadeki.
Watoto wa Marehemu Kwa mama yupi? WA kwanza au wa pili?Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.
Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"
IT IS HEREBY ORDERED THAT:
i. The caveat is fails.
ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.
iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.
iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.
v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.
vi. No order as to costs.
View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527