Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Mahakama huwa zinasema kabisa mwanaume mwenye michepuko pambana mjengee mchepuko wako na umpe chake mapema, maana kisheria hawa watu wanakosa utetezi mbele ya mahakama, ni makosa ya marehemu kumdumbukiza hawara/mchepuko kwenye shimo la matatizo,hawara dai chako mapema yani omba mgao wako wakati marehemu yupo hai
Huwa wanajisahau wanabaki kuponda raha pekee, angalia yule wa Mengi na Mrema wote walikuwa wanazunguka tu na hao wazee kuponda raha kama vile wana mkataba na MUNGU
 
Yaani caveat is fails ndo nini sasa?
Hapo hata mimi nimeishiwa na maneno. Sema nafarijika kuwa hilo bandiko ni la kutengeneza tu, siyo hukumu ya Judge, hawezi kufanya makosa ya kjinga namna hiyo.

Barua haina muhuri wala tarehe.

Hapo anarushwa roho Vicky Kamata, kimtandao.

Tusiamini kila linaloletwa kwenye hii mitandao.
 
Suala la mume au mke wa mtu ni irrelevant kwa kitu ambacho kina jina lake. Huwezi kugawa mali za mtu. Zenye jina la Likwelile yah unaweza kugawa.

Pia hujui watu ndani walikutana na nini mpaka wakafikia kuachana. Wakati mwingine usihukumu maana hakuna msafi. Ndo maana ikaandikwa aliye msafi na awe wa kwanza kurusha jiwe.

Ni wrong kugawa mali iliyoandikwa kwa jina la huyo mwanamke au jina la mtoto unless hakimu aoneshe kuwa lilibadilishwa kwa njia isiyo halali. Mahakama imefungwa kwenye kufanya maamuzi kwa yale mambo ambayo imeletewa. Haina mamlaka ya kuspeculate hata kama ni kweli au ni uongo. Kwenye rufaa dada atashinda hapo mali zenye jina lake na la mtoto wake zilipoingizwa.

Nimesoma hukumu. Kuna sehemu imeandika vicky alifoji mukhtasari wa kikao cha familia na kuupeleka mahakamani kuonesha familia imemteua kuwa msimamizi wa mirathi.

Hilo swala la kufoji litambana hata akikata rufaa
 
Huyu si ndo inspirational wa wanawake Tanzania?? Aliwaimbia mpaka wimbo wafanye kazi wapate MAENDELEO??

Kumbe kazi kudanga??
Kusuburi watu wafe akadai mirathi kortini??

In this world trust nobody!!!
Mimi nkajua ndo mkewe? Ila nilijiulza maswal mengi Kuna kipnd vik alikuwa anaolewa na jamaa mmj ndo akaahirisha akaenda kwa mshkj nadhan alkuwq wizara ya fedha uko
 
Vicky ndoa yake inakosa mashiko kwasababu marehemu tayari alishakua na ndoa, huoni mahakama imesimamia haki, yani mali wachume mke mkubwa halafu ajekula hawara mbaya zaidi watoto wapo, sheria ingekua inahuruma kama unavyotaka watu wengi wangepokonywa haki zao mkononi
Kwani mke mkubwa wa marehem yupo hai?
 
Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.

Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"

IT IS HEREBY ORDERED THAT:

i. The caveat is fails.

ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.

iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.

iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.

v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.

vi. No order as to costs.

View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527
Watoto wa Marehemu Kwa mama yupi? WA kwanza au wa pili?
 
Back
Top Bottom