Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
K lyn sii katolewa nje..... Saa hz ndo anadai bills za watoto na zenyw ni kubwa akaambiwa haiwezkanKosa kubwa la Vicky ni kuwanyanyasa watoto wa marehemu! Angekula nao vizuri wala yasingemkuta haya. Tatizo ni tamaa ya kutaka kumiliki mali peke yake huku watoto wakiteseka. Hakujifunza kwa K-Lyn?
Kwani mke mkubwa wa marehem yupo hai?
Ni tapeli huyo mamaHaki ya mtu sio rahisi kupotea, mtu anaewanyanyasa watoto yatima ana roho ngumu sana.
Unafkr alvokuwa na mzee huyo Kuna shughul au alkuwa ana midanga uku nje.... Yule danga bhnAdake mstaafu chapu
Hicho kilichobandikwa hapa hakijaandikwa na judge.Labda kama Jaji ni chawa wa CCM
Hadi anakuwa Mke si lazima awe na Ndoa au?Sheria ya ndoa imempa mke urithi 50% hata kama hajazaa
Wanawake wadangaji ndio wanapendea hapo
Official judgement ya mahakama na typing error ya huku mitandaoni unalinganisha au we ndo kina Dr msukuma?Sasa "ineandikwa" ndio nini? Una uhalali wa kumkosowa mwingine?
Hii ni ya kada imepigwa fasta fastaHalafu kesi za mirathi huwa zinachukua muda sana sijawahi juwa nini shida hasa, unakuta kesi inaenda miaka 10,kidogo angarau hii imeenda chapu chapu ,kuna namna kwenye kesi za mirathi mahakama zingejitahidi zikatatua hizi kero ili kwa wakati warithi wapate haki zao na kunufaika na stahiki zao. kama wakusoma wasome nk
Mke wa mrema alsema ana project ya million Mia pale moshii..... Asa alikuwa analia nn? Kuhus tair kutolewa kwa gari?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama yule alokuwa mke wa mrema
Sijui wanapata wapi ujasiri kulilia Mali za ulisi[emoji1787] zisizowahusu
Msaidie kukata rufaa, mshauri atafute pesa aachane na waume za watu + tamaa, amekuwa mbunge wa mchongo 10 years alishindwa nini kujiwekea akiba? Mbunge kwa miaka 5 hakosi 2BHicho kilichobandikwa hapa hakijaandikwa na judge.
Akili yangu imegoma kukiamini kabisa.
Ndoa yake ni batili, tulioowa ndoa ya mke mmoja tunalijuwa hili vizuri na ndivyo vyeti vyetu vya ndoa vilivyojazwa.Sheria ya ndoa imempa mke urithi 50% hata kama hajazaa
Wanawake wadangaji ndio wanapendea hapo
Ni uongo napajua mpk kwao hana kitu ana bustani ya maua na mitiMke wa mrema alsema ana project ya million Mia pale moshii..... Asa alikuwa analia nn? Kuhus tair kutolewa kwa gari?
No wonder Wakili wa shetaniApewe haki yake. Wote tulishuhudia kaolewa.
Mkuu umetisha Sana..... Sometimes wanaume ndo tunasababisha haya yote.... Angalia kina mengi mrema, huyu nae kuchukua madangaMimi nikifikiriaga kesho ya watoto naona Bora nibakie tu njia kuu na gumegume langu ni kubadili tu step za kudance nae.
Wanadamu hawana huruma na mirathi
Mwanaume ndo aliingia mtini ama viki ndo aligeuza kibao? Em leta gazeti lileDu, pole sana Vicky. Kama kweli mumeo alikua na Ndoa na haikuvunjwa kisheria, basi mahakama Iko sahihi.
Pole sana, nakumbuka pia uliwahi kuchangiwa michango ya harusi na siku ya harusi jamaa akaingia mitini. Jipe Moyo. Endelea kuwa Mwanamke Shujaa.
Mim najua moja lipo sinza ambapo anafanya kimambo huyu producerAna mali nyingi tu kajilimbikizia yule..ana ghorofa zuri tu..sema tamaa zimemponza