Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ana mali nyingi tu kajilimbikizia yule..ana ghorofa zuri tu..sema tamaa zimemponzaHuyu mama ni mjinga sana, amekuwa mbunge kwa miaka 10, alishindwa nini kuwa na mali zake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana mali nyingi tu kajilimbikizia yule..ana ghorofa zuri tu..sema tamaa zimemponzaHuyu mama ni mjinga sana, amekuwa mbunge kwa miaka 10, alishindwa nini kuwa na mali zake?
Yale yale ya Amisa Mobeto😆😆😆Kuna kesi nyingine kabla ya kuanzisha lazima upime urefu wa kina cha maji
Angejikalia kimya na kumalizana na ndugu, huenda angekuwa na furaha sana kuliko machungu aliyo nayo wakati huu.
AhsanteWanyama pori (TAWA)
Hata hilo gorofa una uhakika ni lake?Ana mali nyingi tu kajilimbikizia yule..ana ghorofa zuri tu..sema tamaa zimemponza
Sasa aachane na mali za marehemu siyo halali yake ni mjinga sn, huyu na kimanda wa Mengi + Mrema ni wapumbavu snAna mali nyingi tu kajilimbikizia yule..ana ghorofa zuri tu..sema tamaa zimemponza
Kaanza kudanga kitambo sn itakuwa ni lake, nasikia amezaa na Padre huko Geita kabla ya kuwa mbunge wa mchongo kwa kupigwa miti na JK kama sikoseiHata hilo gorofa una uhakika ni lake?
Mke wa marehemu ulimpeleka wapi?Mahakama imekosea sana.
Vicki aliolewa kwa utaratibu wa kisheria na akapewa cheti cha ndoa na wala hapakuwa na pingamizi lolote. Mahakama zetu ziwe zinatqfakari kwa umakini kabla ya kuamua.
Duuuh hizi tuhuma mbaya sana. Ni za kweli?Kaanza kudanga kitambo sn itakuwa ni lake, nasikia amezaa na Padre huko Geita kabla ya kuwa mbunge wa mchongo kwa kupigwa miti na JK kama sikosei
Si ndio hizo hizo mahakama mnatumia Kufunga wapinzani?......unalia nini sasa.Mahakama imekosea sana.
Vicki aliolewa kwa utaratibu wa kisheria na akapewa cheti cha ndoa na wala hapakuwa na pingamizi lolote. Mahakama zetu ziwe zinatqfakari kwa umakini kabla ya kuamua.
Viki alikuwa mke halali wa marehemu na anayo haki ya kumrithi mume wake.
Fuatilia unadhani ni utani, Mange Kimambi kaandika vizuri sn InstagramDuuuh hizi tuhuma mbaya sana. Ni za kweli?
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchunguSi ndio hizo hizo mahakama mnatumia Kufunga wapinzani?......unalia nini sasa.
Ana nyumba ya ghorofa kibwegere kikwete alomjengea mtoto yule wa kiume alozaa nayeAna mali nyingi tu kajilimbikizia yule..ana ghorofa zuri tu..sema tamaa zimemponza
Hahahaha hata wa kada zingine kuwa na roho mbaya ni hulkaLazima tu atakuwa mwana ccm
Nikudokeze kidogo usicho jua VICKY alikuta ndani walaka w mirathi imeandikwa na marehemu kisha YY akachukua akaenda kubadilisha na kuongeza majina kwenye mali na kuweka majina yake. Masikini uyo Vick bila kujua Mzee iyo pepa ya mirathi OG alimpa rafiki yake pia awashikie watoto wake siku akifa alete (alikua anauzia siraha z serikali (CODE) na OG nyingine kwa mwanasheria wake na OG mirathi nyingine kwa mtoto wake wa UK kwa sasa YUKO canada.sory bro!! Siku ya mirathi akaleta yake aliyo EDIT.Suala la mume au mke wa mtu ni irrelevant kwa kitu ambacho kina jina lake. Huwezi kugawa mali za mtu. Zenye jina la Likwelile yah unaweza kugawa.
Pia hujui watu ndani walikutana na nini mpaka wakafikia kuachana. Wakati mwingine usihukumu maana hakuna msafi. Ndo maana ikaandikwa aliye msafi na awe wa kwanza kurusha jiwe.
Ni wrong kugawa mali iliyoandikwa kwa jina la huyo mwanamke au jina la mtoto unless hakimu aoneshe kuwa lilibadilishwa kwa njia isiyo halali. Mahakama imefungwa kwenye kufanya maamuzi kwa yale mambo ambayo imeletewa. Haina mamlaka ya kuspeculate hata kama ni kweli au ni uongo. Kwenye rufaa dada atashinda hapo mali zenye jina lake na la mtoto wake zilipoingizwa.