Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,

Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana

Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.

Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..

Wazungu wanajua kutetea haki za ;

1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume

Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo

Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.

Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia



Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.

Wazungu hawana akili
 
Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,

Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana

Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.

Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..

Wazungu wanajua kutetea haki za ;

1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume

Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo

Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.

Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia



Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.

Wazungu hawana akili
kesi yake inahusisha human trafficking, kulala na minors hivyo usiseme ni ndogo sana mkuu. hii kesi inaweza kumpoteza aisee kama hata bail yake ya dola milioni 150 alizotaka kuweka wameikataa.
pia nilisikia maisha yake yako mashakani kwa kuwa kuna watu wakubwa ambao wasingpenda watajwe huenda wakampumzisha kama ilivyokuwa kwa jeffrey epstein ambapo kesi yake ingewagusa hata akina bill gates so jamaa ilionekana eti kajinyonga gerezani ila watu wanaamini aliuawa.
 
Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,

Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana

Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.

Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..

Wazungu wanajua kutetea haki za ;

1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume

Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo

Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.

Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia



Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.

Wazungu hawana akili
Ingekuwa madai ni hayo basi wasingemkamata kabisa. Ni vyema ukasome hati ya mashitaka kama kuna sehemu wamesema anashitakiwa kwa madai hayo
 
kesi yake inahusisha human trafficking, kulala na minors hivyo usiseme ni ndogo sana mkuu. hii kesi inaweza kumpoteza aisee kama hata baili yake ya dola milioni 150 alizotaka kuweka wameikataa.
pia nilisikia maisha yake yako mashakani kwa kuwa kuna watu wakubwa ambao wasingpenda watajwe huenda wakampumzisha kama ilivyokuwa kwa jeffrey epstein ambapo kesi yake ingewagusa hata akina bill gates so jamaa ilionekana eti kajinyonga gerezani ila watu wanaamini aliuawa.
Hapo kwenye minors ndio kwenye tatizo,human trafficking na sodomising amicably adhabu yake ni ndogo
 
Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,

Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana

Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.

Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..

Wazungu wanajua kutetea haki za ;

1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume

Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo

Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.

Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia



Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.

Wazungu hawana akili
Hapo nadhani atashitakiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia na blackmail hasa kwa mambo aliyowafanyia kina bieber wakiwa watoto na wanawake hayo mengine wakina burna boy sijui nani wamejitakia wenyewe..
 
Hapo kwenye minors ndio kwenye tatizo,human trafficking na sodomising amicably adhabu yake ni ndogo
yule jamaa huenda akapotea maana wapo wengi watatokea kutoa ushahidi.
Shida au uzuri wa Marekani, mambo ambayo uliyafanya wakati sheria haijawa kali miaka hiyo yanaweza kurudi kuku hunt sasa.
Kama Tanzania ingekuwa kama marekani kuna hata viongozi wangefungwa sasa. kuna watu nawafahamu leo viongozi miaka ya tisini walikuwa wanapiga mitungo wanawake wakati yalikuwa yanaonekana mambo ya akwaida.
 
yule jamaa huenda akapotea maana wapo wengi watatokea kutoa ushahidi.
Shida au uzuri wa Marekani, mambo ambayo uliyafanya wakati sheria haijawa kali miaka hiyo yanaweza kurudi kuku hunt sasa.
Kama Tanzania ingekuwa kama marekani kuna hata viongozi wangefungwa sasa. kuna watu nawafahamu leo viongozi miaka ya tisini walikuwa wanapiga mitungo wanawake wakati yalikuwa yanaonekana mambo ya akwaida.
Kama wamepanga kumpoteza watampoteza tu,Bob Marley,Tupac,walipotezwa kwa kupora pumzi yao Tyson chupuchupu,R Kelly kaishapotezwa ngoja tuone
 
Kama wamepanga kumpoteza watampoteza tu,Bob Marley,Tupac,walipotezwa kwa kupora pumzi yao Tyson chupuchupu,R Kelly kaishapotezwa ngoja tuone
Tusitumie chaka la u black kutetea maovu ya watu hao. Hao akina tupac inasemekana diddy mwenyewe ndo akawaua kwanza.
Jeffrey Epstein hakuwa black ila naye alikamatwa kwa tuhuma kama za diddy na alikuwa bilionea diddy hata haoni ndani na akauawa kabla ya kesi kwenda mahakamani. wanasema ingeenda mahakamani wanasiasa, akina billgates nao wangetajwa. Moja ya sababu ya mke wa billgates kumuacha gates, ni kuwa gates alikuwa rafiki na anahudhuria party za epsetein akiwemo yule prince wa uingereza.
 
Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,

Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana

Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.

Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..

Wazungu wanajua kutetea haki za ;

1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume

Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo

Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.

Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia



Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.

Wazungu hawana akili
Unaielewa kesi yenyewe ya Diddy ni ipi au unabumba bumba tu?
 
Back
Top Bottom