Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diddy bado anatongoza kizamani sana,eti njoo chumbani tuangalie movie, na kweli zamani dame akisha ingia chumbani huyo hata kama ana bleed lazima aliwe tu!!Diddy hatarii, anawaita wasela chumbani.. kama Ile umemkaribisha mtoto gheto Ile kaka siting room unamkaribisha chumbani [emoji28][emoji28]
Mkuu media ndio zimelikuza sana swala la wapakwa mafuta na hii ni kutokana na mahasimu wa wapakwa mafuta kutumia issue kuwabeza...... kama unavyoona Mondi hapa bongo au Burna Boy Nijeria nkNi endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,
Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana
Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.
Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..
Wazungu wanajua kutetea haki za ;
1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume
Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo
Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.
Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia
Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.
Wazungu hawana akili
Akichomoka hapo kwenye minor tu,zingine hizo hazitishi sana,uko sahihiMkuu media ndio zimelikuza sana swala la wapakwa mafuta na hii ni kutokana na mahasimu wa wapakwa mafuta kutumia issue kuwabeza...... kama unavyoona Mondi hapa bongo au Burna Boy Nijeria nk
Hati ya mashtaka ya mwamba ni
Minor
Abuse
Human trafficking
Mihadarati
Ni vile hapo kwenye minor bado hakuna case strong
Mwamba anaweza kuchomoa kweli au akala miaka michache tu
Itakuwa ni domo zege ndio maana anatumia mabavu 😅😅Diddy bado anatongoza kizamani sana,eti njoo chumbani tuangalie movie, na kweli zamani dame akisha ingia chumbani huyo hata kama ana bleed lazima aliwe tu!!
Sasa mkuu r kelly ushahidi wa video akiwala watoto wadogo si upo..? Acha nadharia potofuKama wamepanga kumpoteza watampoteza tu,Bob Marley,Tupac,walipotezwa kwa kupora pumzi yao Tyson chupuchupu,R Kelly kaishapotezwa ngoja tuone
Diddy ni faka,ni wakala wa shetani,sema hapo hakuna mtotohao wakubwa mbonaSasa mkuu r kelly ushahidi wa video akiwala watoto wadogo si upo..? Acha nadharia potofu
Angalia hapo chini alikua amkiss huyu msanii jamaa akachomoa na hapo ni jukwaan live kwenye tamasha kubwa. Haya njoo akimkiss JAY Z na rick rose. Diddy ni msenge
View attachment 3111149
otofu hawa majamaa wana mambo mengi ya kishetani
Hiyo sio kesi mkuuIshu inayomsakama sana ni kutumia madaraka kujinufaisha kingono. Hiyo ni kesi kubwa sana huko mambele.
Mwanamke akishafika ndani ukamwambia njoo chumbani tutazame movie anajua hakuna movie hiyo si kutongoza boss, ni kukamilisha kilichokupeleka.Diddy bado anatongoza kizamani sana,eti njoo chumbani tuangalie movie, na kweli zamani dame akisha ingia chumbani huyo hata kama ana bleed lazima aliwe tu!!
Si alikubali mwenyewe?Tatizo sio govt ya USA kujua au kutokujua, tatizo ni walionunua nafsi wanataka kumtema...
Kwa huku kwetu ni kawaida, huko mbele ni kesi kubwa sana.Hiyo sio kesi mkuu
Yaani unaambiwa nikufumue marinda utapata Grammy halafu unakubali kuinama mtu mzima na akili zako?
Hiyo ndio price ya kutaka fame kwa njia ya mkato.... hakuna kesi hiyo
Si alikubali mwenyewe?
Yeah halina ubishiDiddy ni faka,ni wakala wa shetani,sema hapo hakuna mtotohao wakubwa mbona