Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,

Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana

Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.

Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..

Wazungu wanajua kutetea haki za ;

1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume

Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo

Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.

Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia



Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.

Wazungu hawana akili
Mkuu media ndio zimelikuza sana swala la wapakwa mafuta na hii ni kutokana na mahasimu wa wapakwa mafuta kutumia issue kuwabeza...... kama unavyoona Mondi hapa bongo au Burna Boy Nijeria nk

Hati ya mashtaka ya mwamba ni
Minor
Abuse
Human trafficking
Mihadarati

Ni vile hapo kwenye minor bado hakuna case strong
Mwamba anaweza kuchomoa kweli au akala miaka michache tu
 
Mkuu media ndio zimelikuza sana swala la wapakwa mafuta na hii ni kutokana na mahasimu wa wapakwa mafuta kutumia issue kuwabeza...... kama unavyoona Mondi hapa bongo au Burna Boy Nijeria nk

Hati ya mashtaka ya mwamba ni
Minor
Abuse
Human trafficking
Mihadarati

Ni vile hapo kwenye minor bado hakuna case strong
Mwamba anaweza kuchomoa kweli au akala miaka michache tu
Akichomoka hapo kwenye minor tu,zingine hizo hazitishi sana,uko sahihi
 
Kama wamepanga kumpoteza watampoteza tu,Bob Marley,Tupac,walipotezwa kwa kupora pumzi yao Tyson chupuchupu,R Kelly kaishapotezwa ngoja tuone
Sasa mkuu r kelly ushahidi wa video akiwala watoto wadogo si upo..? Acha nadharia potofu
Angalia hapo chini alikua amkiss huyu msanii jamaa akachomoa na hapo ni jukwaan live kwenye tamasha kubwa. Haya njoo akimkiss JAY Z na rick rose. Diddy ni msenge

otofu hawa majamaa wana mambo mengi ya kishetani
 
Sasa mkuu r kelly ushahidi wa video akiwala watoto wadogo si upo..? Acha nadharia potofu
Angalia hapo chini alikua amkiss huyu msanii jamaa akachomoa na hapo ni jukwaan live kwenye tamasha kubwa. Haya njoo akimkiss JAY Z na rick rose. Diddy ni msenge
View attachment 3111149
otofu hawa majamaa wana mambo mengi ya kishetani
Diddy ni faka,ni wakala wa shetani,sema hapo hakuna mtotohao wakubwa mbona
 
Ishu inayomsakama sana ni kutumia madaraka kujinufaisha kingono. Hiyo ni kesi kubwa sana huko mambele.
 
Ishu inayomsakama sana ni kutumia madaraka kujinufaisha kingono. Hiyo ni kesi kubwa sana huko mambele.
Hiyo sio kesi mkuu

Yaani unaambiwa nikufumue marinda utapata Grammy halafu unakubali kuinama mtu mzima na akili zako?
Hiyo ndio price ya kutaka fame kwa njia ya mkato.... hakuna kesi hiyo
 
Diddy bado anatongoza kizamani sana,eti njoo chumbani tuangalie movie, na kweli zamani dame akisha ingia chumbani huyo hata kama ana bleed lazima aliwe tu!!
Mwanamke akishafika ndani ukamwambia njoo chumbani tutazame movie anajua hakuna movie hiyo si kutongoza boss, ni kukamilisha kilichokupeleka.
 
Hiyo sio kesi mkuu

Yaani unaambiwa nikufumue marinda utapata Grammy halafu unakubali kuinama mtu mzima na akili zako?
Hiyo ndio price ya kutaka fame kwa njia ya mkato.... hakuna kesi hiyo
Kwa huku kwetu ni kawaida, huko mbele ni kesi kubwa sana.
 
Ila haya mambo haya nmekumbuka miaka ya nyuma kdg kuna ofis moja nilikuwa nafanya kazi tulikuwa tunatoka by saa tano usiku.

Sasa tukitoka tu kuna mmasai anakuja kulinda inshort lilikuwa ni duka sasa mitaa hyo kulikuwa na wahuni wanavuta bangi yule mmasai alikuwa hapatani nao kabisa.

Siku moja bwana yule mmasai akarud kalewa akazima bwana wale wahuni wakampasulia yai yule mmasai aisee kulipokucha mmasai kila akitaka kuindoka anaona utelezi mara vitu vikawa vinamchuruzika yan ni moment ambayo uwa siji kuisahau hakukaa mtu pale

Uwa nacheka kama tukio limetokea jana, sasa nashangaa hao ndugu kirahisi wamewezaje kuachia njia ya haja kubwa tena tetes za uyo mwamba si za leo wala jana lakin mtu bado anatoka anaenda tena nayeye.
 
Ali Msomali aka Diddy aka Shemeji kesi yake itaanza kuunguruma 05 May 2025 kwa kipindi mpaka kuanza kwa kesi atabaki tu "nyuma ya nondo" aka segedansi aka Lupango aka inside aka ndichi.
 
Back
Top Bottom