Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema ya ushoga ni madogo sana kwa Marekanikesi yake inahusisha human trafficking, kulala na minors hivyo usiseme ni ndogo sana mkuu. hii kesi inaweza kumpoteza aisee kama hata bail yake ya dola milioni 150 alizotaka kuweka wameikataa.
pia nilisikia maisha yake yako mashakani kwa kuwa kuna watu wakubwa ambao wasingpenda watajwe huenda wakampumzisha kama ilivyokuwa kwa jeffrey epstein ambapo kesi yake ingewagusa hata akina bill gates so jamaa ilionekana eti kajinyonga gerezani ila watu wanaamini aliuawa.
Lakini kwenye hati ya mashtaka sidhani hilo ni mojawapo ya shitaka lililopo mkuu. Ila nilichokiona ni human trafficking na kulala na minors na mengine.K
Kasema ya ushoga ni madogo sana kwa Marekani
. Hayo mengine utajaza wewe.
We bwana weeeee hadi mayai ya kuchemshwa waliingizwa ? Astaghafillah Didy mshenzi sana ndio maana raisi wa Tandale ghafla alitaka kuwa tajiri namba moja duniani yule atakua aliingizwa yai la kuchemsha la mbuni sio la kuku mana alijiamini sana tatizo lipo kwa mbunge nae kaingizwa yai pia kahmatambiko ya kuingizwa yai la kuchemshw
Asante kwa kuweka rekodi sawa,human trafficing alikuwa anafaidika nayo kivipiLakini kwenye hati ya mashtaka sidhani hilo ni mojawapo ya shitaka lililopo mkuu. Ila nilichokiona ni human trafficking na kulala na minors na mengine.
Hivyo basi mwanzisha thread kaanzisha shitaka lake mwenyewe.
SHIDA ya pididi ,hakuna alipokuwa anakubaliana nao,unaitwa sherehe unasainishwa Siri usiseme uonayo ...kadri pombe ziendeleavyo ukilewa unafilwa ...huko nikuvamiwaK
Kasema ya ushoga ni madogo sana kwa Marekani
. Hayo mengine utajaza wewe.
Sijajua mkuu ila ngoja kesi ikianza kuunguruma yataibuka mengi. Sema jamaa atakuwa kawala wengi kuanzia akina mase, genuiwine, na wengi tu wale walikuwa kundi la bad boys. noma sana.Asante kwa kuweka rekodi sawa,human trafficing alikuwa anafaidika nayo kivipi
Kwani ukisaini na akasema angekufanya nini? Yule ni devil worshipper haki ya nani,itakuwa jakiuka masharti ya wakubwa si bureSHIDA ya pididi ,hakuna alipokuwa anakubaliana nao,unaitwa sherehe unasainishwa Siri usiseme uonayo ...kadri pombe ziendeleavyo ukilewa unafilwa ...huko nikuvamiwa
😀😀😀 haya sio yangu ila nataka kujua tu maana sharti lisivunjike ndio unatamba kuwa umepasiWe bwana weeeee hadi mayai ya kuchemshwa waliingizwa ? Astaghafillah Didy mshenzi sana ndio maana raisi wa Tandale ghafla alitaka kuwa tajiri namba moja duniani yule atakua aliingizwa yai la kuchemsha la mbuni sio la kuku mana alijiamini sana tatizo lipo kwa mbunge nae kaingizwa yai pia kah
Hata wenye umri zaidi ya biba...pididi alikuwa anawakaribisha kibiashara mziki na sherehe ...kwenye sherehe ukilewa asubuhi Malinda hunaHao watammaliza
Haujui Kashitakiwa kwa kosa gani unasikiliza tu watu wanaofanya mzaha kwenye mitandao,soma hati ya Mashtaka ndio uandike hapa.Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18,
Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana
Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga.
Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa..
Wazungu wanajua kutetea haki za ;
1 mwanamke
2 mtoto
3 mnyama
4 Raia mwanaume
Utetezi huwa na nguvu kwa mtiririko huo
Hapo utaona hawa majamaa waliopakwa mafuta hawana mtetezi,na watu wanachukulia kama comedy tu kuwatania kuwa walipakwa mafuta.
Pata picha orodha ya aliowaingilia ikatolewa mahakamanialafu akafungwa miaka michache,au ikainekana hana hatia
Vinginevyo atakuwa ametuonyesha unafiki wa wazungu katika swala zima la ushoga.
Wazungu hawana akili
Lavda useme hauba tatizo jqa sherria zao. Ushoga ni janga la kishetani.Huo ndio ukweli,ushoga marekani hauna tatizo,jwa hiyo tandale boy na burna boy wako safe by any means
Tumshukuru Babu tale kwa utetezi ule japo hafifu ...kwamba walikimbizwa mapema na mwenyeji waoKwani ukisaini na akasema angekufanya nini? Yule ni devil worshipper haki ya nani,itakuwa jakiuka masharti ya wakubwa si bure
Huu ni ubakaji. [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kina bo wow na justine bieber aliwapaka mafuta wakat hawajafikisha 18
Eenhee alafu anafanyaje tena? Anakwambia hujiskii joto toa hyo suruali 😀Diddy hatarii, anawaita wasela chumbani.. kama Ile umemkaribisha mtoto gheto Ile kaka siting room unamkaribisha chumbani 😅😅
Hapa ndo naanza kuelewa, Kumbe jamaa alikua kibaka tu.SHIDA ya pididi ,hakuna alipokuwa anakubaliana nao,unaitwa sherehe unasainishwa Siri usiseme uonayo ...kadri pombe ziendeleavyo ukilewa unafilwa ...huko nikuvamiwa