Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

mkuu kesi za didi hazihusiano na wale wakaka waliokwenda chumbani kutizama TV, kesi yake ni kuwagonga underage pamoja na wengine amabo aliwaekea vilevi.
 
Kasema ya ushoga ni madogo sana kwa Marekani
. Hayo mengine utajaza wewe.
 
Imejulikana wakati ni watu wazima ila ishu ni kwamba P didy aliwapididi wakati bado wadogo, ingekua amewapididi na ukubwa wao wala sio ishu sana ila ni kua alikua anawalea huku akiwapididi.
 
matambiko ya kuingizwa yai la kuchemshw
We bwana weeeee hadi mayai ya kuchemshwa waliingizwa ? Astaghafillah Didy mshenzi sana ndio maana raisi wa Tandale ghafla alitaka kuwa tajiri namba moja duniani yule atakua aliingizwa yai la kuchemsha la mbuni sio la kuku mana alijiamini sana tatizo lipo kwa mbunge nae kaingizwa yai pia kah
 
Lakini kwenye hati ya mashtaka sidhani hilo ni mojawapo ya shitaka lililopo mkuu. Ila nilichokiona ni human trafficking na kulala na minors na mengine.
Hivyo basi mwanzisha thread kaanzisha shitaka lake mwenyewe.
Asante kwa kuweka rekodi sawa,human trafficing alikuwa anafaidika nayo kivipi
 
Asante kwa kuweka rekodi sawa,human trafficing alikuwa anafaidika nayo kivipi
Sijajua mkuu ila ngoja kesi ikianza kuunguruma yataibuka mengi. Sema jamaa atakuwa kawala wengi kuanzia akina mase, genuiwine, na wengi tu wale walikuwa kundi la bad boys. noma sana.
 
SHIDA ya pididi ,hakuna alipokuwa anakubaliana nao,unaitwa sherehe unasainishwa Siri usiseme uonayo ...kadri pombe ziendeleavyo ukilewa unafilwa ...huko nikuvamiwa
Kwani ukisaini na akasema angekufanya nini? Yule ni devil worshipper haki ya nani,itakuwa jakiuka masharti ya wakubwa si bure
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ haya sio yangu ila nataka kujua tu maana sharti lisivunjike ndio unatamba kuwa umepasi
Sasa naona alilitaga kama kuku kwa kuonyesha kuwa yuko fiti πŸ˜„
Lingevunjika mtu kafeli hapo anaambiwa akajipange
Kafara zipo ila jamaa anajua kudhalilisha
 
Haujui Kashitakiwa kwa kosa gani unasikiliza tu watu wanaofanya mzaha kwenye mitandao,soma hati ya Mashtaka ndio uandike hapa.

Anashitakiwa kwa kosa la kusafirisha binadamu wanawake na kuwatumikisha kingono,hayo mengine yamekutwa kwake .
 
Huo ndio ukweli,ushoga marekani hauna tatizo,jwa hiyo tandale boy na burna boy wako safe by any means
Lavda useme hauba tatizo jqa sherria zao. Ushoga ni janga la kishetani.

Mwanamne kutatuliwa marinda yote, kubaki kuvuja mavi mpaka kuvaa pampers unasema hakuna tatizo?

. Sijakuelewa unamaanisha nini kwa hiyo "wapo safe"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…