Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

Lavda useme hauba tatizo jqa sherria zao. Ushoga ni janga la kishetani.

Mwanamne kutatuliwa marinda yote, kubaki kuvuja mavi mpaka kuvaa pampers unasema hakuna tatizo?

. Sijakuelewa unamaanisha nini kwa hiyo "wapo safe"?
Hapa naongelea sheria zao za kijinga,ila kimaadili ba kwa Mungu ni kosa na dhambi kubwa.
Hawa wengine wako safe kesi haiwahusu kama walipakwa mafuta ni makubaliano yao
 
Tatizo ni lugha au nini? Kesi ya Firauni Diddy ni ngumu ,kesi yake ni kubwa kuliko ya Rkelly ,we umeona kanyimwa hadi dhamana? Mzee wa kula viboga kashaingia nyavuni ,anaenda kujoin na Kels Shai Tauni.
 
Nani kakwambia Diddy kashtakiwa kwa ushoga?
 
Kwa hio Bill gate nae kapakwa mafuta na Didy ? Nimemdikia Cjid anasema Ptinxe Gsry nae kapakwa mafuta na Didy. Siti ni kuvwa sana.
Justin bieber ndio ipo wazi , dogo alipewa Ferali.
 
Utajiri una siri kubwa sana
 
Kwa hio Bill gate nae kapakwa mafuta na Didy ? Nimemdikia Cjid anasema Ptinxe Gsry nae kapakwa mafuta na Didy. Siti ni kuvwa sana.
Justin bieber ndio ipo wazi , dogo alipewa Ferali.
No gates alikuwa rafiki na marehemu Epstein alikuwa akihudhuria party zake za kutembea na minors
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…