Kesi za ndoa na talaka 1,358 zafunguliwa ndani ya miezi 8 Dar es Salaam

Aisee!? Shida wengi wanaingia kwenye hizo ndoa wakiwa wahajakomaa kiakili wanazania wataishi daima kama walivyo kuwa wanaishi maisha ya uchumba
 
Watu wanaoana bila tafiti. Zipo tabia haziendani, zipo herufi za majina haziendani, zipo number za majina haziendani, ipo miungu, mizimu haiendani. Roho zinashambuliwa wengi hawajui kinga za kiroho, kusafisha Roho zilizochafuka. Vyote hivi uleta misuguano kwenye mahusiano na kupelekea watu kutengana.
Ndoa ni mawimbi kwann uogope mawimbi
 
Ngoja nisikilize tena wimbo wa stamina aliyechapiwa mke na mchezaji wa Simba mpaka ndoa ikavunjika.
Alafu madem wanato-mb-wg bwelele na wachezaj mpira na wasanii
Wanawapa k kiubwete kabisa

Ova
 
sasa sio wote wana elimu ya numerology/astrology mkuu
 
Kuanzia kuchagua mchumba,kuposa hadi ndoa,izi hatua zote ni muhimu sana kumshirikisha Mungu,unaomba Mungu akupatie mchumba omba mungu,umepata mchumba omba mungu pia,unaenda posa omba mungu na hata wakati wa kukaribia ndoa omba Mungu,na katika izo nyakati zote omba Mungu akubainishie mke aliye mwema kwako,ndani ya maisha yako na wakati wa uzao wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…