Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini sheria imepooza katika hili?

Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini sheria imepooza katika hili?

Habari wadau.

Hivi sasa ni saa 01:40 usiku wa manane sijalala naumia na kuumiza kichwa hivi hizi kesi za kulawiti kwanini zimekithiri?

Wanaume wamefikia hatua wanalawiti watoto wa miaka mitatu, wazee wasiojiweza na hata wagonjwa walio pooza. Wanalawiti wanawake kwa wanaume bila huruma!!

Jamii inawajua hawa walawiti na inawakingia kifua?

Je? Ni sheria zimelega sana ndo maana watu wanafanya wakijua sheria ina lacuna?

LHRC, mbona juhudi zenu zipo kwenye reaction za wananchi tu? Yani huwa mnasubiri msikie mwanaume mmoja alilawiti mtoto wananchi wenye hasira kali wamemchoma moto au msikie walawiti wameanza kukatwa jinsia zao au hadi msikie wamepangwa mlimani wanafyatuliwa shaba kichwani ndo huwa mnaibuka na kukemea wanachokua wamefanyiwa.

Inaumiza sana na haya matukio. Yani watoto ndo inauma sana. Kila siku unasikia jipya,

Je nguvu ni ile kauli ya kwamba “mwanaume ndo alivyoumbwa hawezi kujicontrol hisia? “ kwahiyo ndo ulawiti mtoto?

Sheria gani kali iundwe ili iwe fundisho la mfano. Mnaharibu kizazi chetu.
Vinyofolewe tu tuone kama watatumia vidole
 
Aisee inaumiza sana
Nadhani unywaji wa pombe hasa usiokua na mpangilio unachangia.

Ilitokea tukio moja mdada akiwa na bwana wake wapo kwenye mahusiano muda mrefu,siku hiyo wakaenda kupiga vyombo wote wakalewa basi mwamba akamchukua manzi yake wakasepa kufika sehemu akawaita na wenzake wakamchangia kupiga nae mzigo walikua vijana zaidi ya watano manzi alipogona alikula ngumi na mateke kaja uso unevimba yaani aibu mzee. Jamaa anasema pombe anaomba radhi ikajazwa PF3 lakini sijui kilichoendelea.
 
Nadhani unywaji wa pombe hasa usiokua na mpangilio unachangia.

Ilitokea tukio moja mdada akiwa na bwana wake wapo kwenye mahusiano muda mrefu,siku hiyo wakaenda kupiga vyombo wote wakalewa basi mwamba akamchukua manzi yake wakasepa kufika sehemu akawaita na wenzake wakamchangia kupiga nae mzigo walikua vijana zaidi ya watano manzi alipogona alikula ngumi na mateke kaja uso unevimba yaani aibu mzee. Jamaa anasema pombe anaomba radhi ikajazwa PF3 lakini sijui kilichoendelea.
Dah visasi🙌 sema sheria imekaa kizembe sana. Na wao wasipofanyiwa ukatili watasafiria nyota ya sheria legevu. Nakwambia watundikwe uwanjani wachapwe viboko na vichupi tu hii hali imekua to much
 
Wakati nipo Mbeya pale Igawilo ndo nilijua ukubwa wa hii ishu ajabu mbeya siisikii kwenye rekodi.

Pale kila siku lazima ije kesi ya ubakaji au ulawiti.
Hazionekani kwasbb hazitangazwi, watu wanayamaliza kimya kimya lkn zile sehem ambazo hayafumbiw mach hua yanatangazw
 
Umewai fika mahakamani kwanza?
Asilimia kubwa ya washitakiwa inaonekana wengi usingiziwa na wale ambao ushahidi unaonekana wazi kwamba ni kweli mshitakiwa kafanya jambo ilo lakini utakuta siku ya mwisho mashahidi wanagoma kwamba si kweli wakati ushahidi umekili ni kweli.
Sasa kufika mahakamani hakuondoi tatizo. Kaka kuna watu wanakutwa red handed kabisa na hawafanywi chochote. Kuna kesi iliwahi kutokea kimara mbakaji alikua ana ndugu yake kwenye chombo cha usalama. Kila wakimpelekea kituoni jioni asubuhi ameachiwa na anarudi kuwatambia wale wa familia ya victim kwamba hawana cha kumfanya hawezi kulala jela na matukio yanaendelea sasa unategemea mashahidi watasemaje wakati usalama wao uko matatani?
 
Sasa kufika mahakamani hakuondoi tatizo. Kaka kuna watu wanakutwa red handed kabisa na hawafanywi chochote. Kuna kesi iliwahi kutokea kimara mbakaji alikua ana ndugu yake kwenye chombo cha usalama. Kila wakimpelekea kituoni jioni asubuhi ameachiwa na anarudi kuwatambia wale wa familia ya victim kwamba hawana cha kumfanya hawezi kulala jela na matukio yanaendelea sasa unategemea mashahidi watasemaje wakati usalama wao uko matatani?
Mi naelewa, cha umuhimu abiria tunza mzigo wako!. Tu!.
 
Watoto wanapita wakiwa ndani ya school bus ,wanaimbaaa
Nasikiaaa nyg
Nasikiaaa nyg
Nasikia nyg

Ova
Mi kuna mtoto wa jirani ana tabia za ajabu tumeshamkanya sana mtaani hasikii, ana tabia za ajabu kweli kweli na wazazi wake ni wachawi sijui waganga kwahiyo hata akifanya kosa anakimbilia kwao na anajua huwezi mfanya kitu. yani kuna siku alijichanganya nilikuwa nyumbani siku hiyo akafanya ujinga tena alikua ana mtoto mwenzake, nilitoka nikawakwida na mkono mmoja nikawanasa makofi na mkono mwengine walikuja kuokolewa na kaka yao. Naona na baba yao anawakingia kifua. Ndo maana sipendi vitoto vinavyozurulaga mtaani havina kabisa maadili. Yani kama isingekua Mr kuniambia niache kuvibutua nahisi tungefikishana mbali. Yani ni wale watoto watukutu waliopitiliza. Nimesubiri wazazi wake waniroge naona wapo kimya. Asiefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu.

Nilichojifunza tu sitagusa tena mtoto wa mtu maana hawachelewi kukufia
 
Back
Top Bottom