Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini sheria imepooza katika hili?

Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini sheria imepooza katika hili?

Na hii ya kunyongwa kuna mijitu na akili yao itakuja kukataa hapa....

Tz hi kuna watu poor brain kabisa 😂 😂
Mtu kama huyo ni kunyongwa ila kabla ya hapo apewe adhabu kali hadi amtaje mganga aliyempa mashart kama hayo..

Then wachukuliwe kwanza wapigane miti wao kwa wao...
Wapigwe pasi za matrakooo
Alafu ndo wanyongwe...

Yaani kwenye kitengo cha kutocha watu naomba wanikodi maana nina njia 105 za kutocha mtu mpaka akasema ila kitu
 
Mbona wao ndo wanaongoza kwa asilimia kubwa sasa haki sawa inasaidiaje kuondoa tatizo la ulawiti
Kuna uhuru ambao mwanaume ameupoteza ndio maana hayoyote yana tokea hakuna kinacho weza kusaidia hata sheria iwe ya namna gani
 
Na hii ya kunyongwa kuna mijitu na akili yao itakuja kukataa hapa....

Tz hi kuna watu poor brain kabisa 😂 😂
Mtu kama huyo ni kunyongwa ila kabla ya hapo apewe adhabu kali hadi amtaje mganga aliyempa mashart kama hayo..

Then wachukuliwe kwanza wapigane miti wao kwa wao...
Wapigwe pasi za matrakooo
Alafu ndo wanyongwe...

Yaani kwenye kitengo cha kutocha watu naomba wanikodi maana nina njia 105 za kutocha mtu mpaka akasema ila kitu
Sasa apo mbona siyosuluhisho ni kuendekeza upuuzi ambao tunapingana nao.
 
Sasa apo mbona siyosuluhisho ni kuendekeza upuuzi ambao tunapingana nao.
Mkuu suruhisho nini elimu au...
Upuuzi gani tunapingana nao....

Kuna mambo mengine mnachukulia simple ila ndo solution zenyewe..

Mfano
Hivi kukata mwizi mkonono na
Kumchoma moto ipi ni solution ya kumaliza wezi mtaani
 
Ku
Mkuu suruhisho nini elimu au...
Upuuzi gani tunapingana nao....

Kuna mambo mengine mnachukulia simple ila ndo solution zenyewe..

Mfano
Hivi kukata mwizi mkonono na
Kumchoma moto ipi ni solution ya kumaliza wezi mtaani
Kukata mkino
 
Mkuu suruhisho nini elimu au...
Upuuzi gani tunapingana nao....

Kuna mambo mengine mnachukulia simple ila ndo solution zenyewe..

Mfano
Hivi kukata mwizi mkonono na
Kumchoma moto ipi ni solution ya kumaliza wezi mtaani
Huu ni ugaidi kama ukimchoma moto au kumkata mkono umekumbuka kwamba wanamtegemea? Au ujui mwizi analisha tumbo na family yake maanake anao waacha nao wataiba kwa kukosa basic needs!.
 
Hatuna ya kwanza na muhimu ni kufanya Hilo kosa lisiwe na dhamana
 
Sasa mtu kama huyu tukitaka kumfanyizia na yeye..

Kuna watu watapinga ety ""hujui huyo dereva ana familia inamtegemea """

😁😁😁🚬Imagine tuu akili zetu hizi

Adhabu ya kifo bado ni ndogo bila ya wao kupitia mateso makubwa sana.
 
Na ni vizuri pia tukiangalia haya matukio hapa nchini yanafanywa na wenye imani gani kwa takwimu?
Maana kuna imani zingine zimebarikiwa kufanya huu uchafu na makuhani wao
Wakristo wameruhusiwa kabisa na kiongozi wao mkuu,kuwa waphilane na waozeshwe ni haki yao ya msingi, according to Papa
 
Habari wadau.

Hivi sasa ni saa 01:40 usiku wa manane sijalala naumia na kuumiza kichwa hivi hizi kesi za kulawiti kwanini zimekithiri?

Wanaume wamefikia hatua wanalawiti watoto wa miaka mitatu, wazee wasiojiweza na hata wagonjwa walio pooza. Wanalawiti wanawake kwa wanaume bila huruma!!

Jamii inawajua hawa walawiti na inawakingia kifua?

Je? Ni sheria zimelega sana ndo maana watu wanafanya wakijua sheria ina lacuna?

LHRC, mbona juhudi zenu zipo kwenye reaction za wananchi tu? Yani huwa mnasubiri msikie mwanaume mmoja alilawiti mtoto wananchi wenye hasira kali wamemchoma moto au msikie walawiti wameanza kukatwa jinsia zao au hadi msikie wamepangwa mlimani wanafyatuliwa shaba kichwani ndo huwa mnaibuka na kukemea wanachokua wamefanyiwa.

Inaumiza sana na haya matukio. Yani watoto ndo inauma sana. Kila siku unasikia jipya,

Je nguvu ni ile kauli ya kwamba “mwanaume ndo alivyoumbwa hawezi kujicontrol hisia? “ kwahiyo ndo ulawiti mtoto?

Sheria gani kali iundwe ili iwe fundisho la mfano. Mnaharibu kizazi chetu.
Naona polisi wapanue goli watu tumalizane nao mtaani tu kama wezi
 
Hili tatizo liangaliwe kwa mapana zaidi,kuna ugonjwa unaitwa pedophilic disorder,mtu mzima anakuwa sexually attracted na vitoto (not neccessary mtu mwenye pedophilia lazima abake watoto).serkali ianze kampeni ya kuwasaidia pia watu wenye ili tatizo kimatibabu na kiushauri,imani za kishirikina (wadeal na waganga),adhabu iwe kali na wakosaji watangazwe sana kama tunavyotangazaga vitu vya kijingajinga kama matamasha ya mziki.
 
Ipumzisheni serikali...kama wamasai wanavosema "charity begin at home" bas inabidi tukubaliane kuwa malezi Bora huanzia ngazi ya familia

Mzazi anapokosa star ya mdomo kwa kumuita/kuwaita wanae manina kama mku*,msen ku**na majina kibao yaso na stara unategemea nini?? Ko serikali iwafundishe wazazi walk enda leba wenyewe namna ya kuishi na watoto..kheeee..
Kwa ambao wameshaharibikiwa tayari na wanaharibu wenzao tuwafanyaje
 
Hili tatizo liangaliwe kwa mapana zaidi,kuna ugonjwa unaitwa pedophilic disorder,mtu mzima anakuwa sexually attracted na vitoto (not neccessary mtu mwenye pedophilia lazima abake watoto).serkali ianze kampeni ya kuwasaidia pia watu wenye ili tatizo kimatibabu na kiushauri,imani za kishirikina (wadeal na waganga),adhabu iwe kali na wakosaji watangazwe sana kama tunavyotangazaga vitu vya kijingajinga kama matamasha ya mziki.
Wasaidiwe kwa namna nyingine bwana. Bora saizi ziwepo sindano za kupunguza nguvu maana wengine wanazi mis use
 
Back
Top Bottom