Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini sheria imepooza katika hili?

Watundikwe tu viboko pale uwanja wa taifa huku kamba zinawasubiri. Yani anakufa baada ya mateso. Pakwa pilipili ya kutosha mwilini, charazwa viboko ili iwe mfano. Adhabu hiyo itawafaa na wale under 18 wacharazwe na pilipili ila aliepitiliza 30 years viboko na kunyongwa. Nakwambia nchi itakaa sawa
 
Hatuna ya kwanza na muhimu ni kufanya Hilo kosa lisiwe na dhamana
Umefika kwenye point yangu sasa. Ichukuliwe kama armed robbery. Ile kifaa inayotumia kusokotoea si ni ‘arm’ kabisa ile. Hakuna dhamana hata kama una mjomba ni mkuu wa kituo
 
Human right.
 
Adhabu ya kifo bado ni ndogo bila ya wao kupitia mateso makubwa sana.
Nimetoka kusema juu huko, wapakwe pilipili mwili mzima, watundikwe uwanjani pale, charaza kweli kweli huku ameanikwa juani, dozi inaanza saa moja asubuhi hadi jua la jioni linazama anashushwa na kamba shingoni biashara imeisha.

Tunayachukulia simple kwasababu wanaofanyiwa sio mdugu zetu si ndio
 
Human right.
Hii ndo human right unayoiongelea mkuu? You’re joking right?
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Ume google😁😁🐸👈
You are the dumbest human being alive! Ama na wewe ni mmoja wa walawiti!!

How stupid than this can you get?

Instagram hii story imezagaa.
Na ku google kuna badilisha uhalisia? Wewe ni punguani nilidhani utakuja na hoja!
 
Bado hapo kama unawapendelea hivi.. yaani viboko tuu hapana adhabu ziwe za kutosha ...
Choma choma sindano za kwenye kucha...
Kubanwa korodani na koleo mpaka akojoe figo
 
Afya ya akili chanzo kikuu, tuanze kuvifanyia kazi vyanzo ya kisababisha afya ya akili.

Kwa mfano yule jamaa aliyefikia hatua ya kubaka kuku imagine kungekuwa na katoto ka kike ama ka kiume kanatambaa hapo karibu.
 
Watu wa haki za binadamu ni wanafiki namba moja.
Hili swala kwa sasa linaelekea kuota mizizi. Kwa sasa ukiwa na mwanao/wanao usimwamini mtu katika malezi anaweza haribiwa.
 
Chanzo ni wazazi wapo busy kutafuta pesa, watoto hawana uangalizi au wanaangaliwa na watu wasio na uchungu na watoto.hao, pia tendo la ndoa limekuwa zaidi ya biashara, mwanaume agharamie tendo kabla na baada ya tendo. Wanaamua kutafuta njia fupi kukata kiu ya mahitaji ya mwili
 
Kitu Cha msingi Cha kufanya ili kukomesha hata matukio ni kumuadhibu kisheria mhalifu wa haya matukio
Serikali kupitia chombo husika Cha haki juu ya makosa haya kitoe adhabu Kali Kwa wahusika
Muhimu kuzingatia sheria juu ya wahusika wa matukio haya
 
Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…