Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Unataka kusema baby mama wa Aucho, Sumi ni mkali kuliko Caren? Babu jamaniiiii

Hakuna tetesi hapa Babu, hizi ni habari za uhakika vijana wanapokezana hapo!
 
Kwahiyo Tako KUBWA ndio chanzo kikuu cha mapato. Ila ile liquor store ni side hustle.

Na kujipost Instagram, uvixen, uigizaji na siku hizi ni mwanamziki, hizi ni marketing strategy 🤣
Huyu yeye hatumii ile mbinu mpya mjini ya gym? Yani umenifanya nikimuona mdada anapost yuko gym nacheka sana 😂 😂

Yes, yafaa yalipiwe kodi maana inaonekana anaingiza mtonyo mrefu sana.
 
Mimi na umbea wangu wote nilikuwa sijui 😂
Huyu yeye hatumii ile mbinu mpya mjini ya gym? Yani umenifanya nikimuona mdada anapost yuko gym nacheka sana 😂 😂

Yes, yafaa yalipiwe kodi maana inaonekana anaingiza mtonyo mrefu sana.

Hii dunia ni ndogo sana. Hizo taarifa nipewaga na jamaa zangu machawa wa Madon, ndio kazi zao kuwatafutia pisi Madon 🤣🤣🤣
 
Hii dunia ni ndogo sana. Hizo taarifa nipewaga na jamaa zangu machawa wa Madon, ndio kazi zao kuwatafutia pisi Madon 🤣🤣🤣
Haya leta habari zake sokoni sasa, amekaaje? Dau likoje na ni stahiki ya dau au anazingua? 😜

Mi nakukubali sana kwa habari za sokoni 🤣 🤣
 
Kohoh kohoh mabunjuh wacha yavurugweh ukiingia mjini mtu mzima kuna mengi ya kuhadithiwa!
 
Haya leta habari zake sokoni sasa, amekaaje? Dau likoje na ni stahiki ya dau au anazingua? 😜

Mi nakukubali sana kwa habari za sokoni 🤣 🤣
Nipo mbali na hao machawa. Halafu msimu huu wa sikukuu wamekuwa bize mno. Wako tight wanawatafutia madon pisi za kuenjoy sikukuu 🤣🤣🤣
 
Unataka kusema baby mama wa Aucho, Sumi ni mkali kuliko Caren? Babu jamaniiiii

Hakuna tetesi hapa Babu, hizi ni habari za uhakika vijana wanapokezana hapo!
Sumi ni mkali kuliko huyo Careen, kwa maoni yangu lakini...

Angalia umbo lake na ngozi ilivyo laini...kingine hajatumika sana kuliko huyo Careen. Kuna namna ningeweza kuwaelekeza hapa namna ya kujua mali iliyotumika sana na yenye unafuu kidogo...

Nikifanya hivyo, nitakuja kuzua ugomvi huko majumbani kwenu...

Ni somo la mwaka 47 huko 😜🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Nipo mbali na hao machawa. Halafu msimu huu wa sikukuu wamekuwa bize mno. Wako tight wanawatafutia madon pisi za kuenjoy sikukuu 🤣🤣🤣
Aiseee mjini hapa sio poa, mi msimu wa sikukuu nitahakikisha nakaba kona zote maana ukilegeza kidogo tu ndio haya sasa.

Na wateja wakubwa ni waume za watu, hatari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…