Sikupingi Babu, na uko sahihi kwa upande wako...Sumi ni mkali kuliko huyo Careen, kwa maoni yangu lakini...
Angalia umbo lake na ngozi ilivyo laini...kingine hajatumika sana kuliko huyo Careen. Kuna namna ningeweza kuwaelekeza hapa namna ya kujua mali iliyotumika sana na yenye unafuu kidogo...
Nikifanya hivyo, nitakuja kuzua ugomvi huko majumbani kwenu...
Ni somo la mwaka 47 huko 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Caren simbaBest huyu mbona kama Muarusha? Kwa jinsi alivyo...
🤣Aiseee mjini hapa sio poa, mi msimu wa sikukuu nitahakikisha nakaba kona zote maana ukilegeza kidogo tu ndio haya sasa.
Na wateja wakubwa ni waume za watu, hatari!
Anastahili sifa acha asifiwe.Kila mmoja anamsifia nyie itakuwaje kwa kaka mzuri wangu sasa? Vibaya hivi 🙁
Heri ya mwaka mpya
Anastahili sifa acha asifiwe.Kila mmoja anamsifia nyie itakuwaje kwa kaka mzuri wangu sasa? Vibaya hivi 🙁
Heri ya mwaka mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahDuh jamaniii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Ila mmakonde anaringia alivyobarikiwa....unaambiwa wasanii wote hamna anayemfikia mmakonde Kwa baraka za kule nanihii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba, Mapunda😆Caren simba
Simba ni wangoni
Labda kama mama ake ni mtu wa huko Atown
Na mie ndo najua caren yuko na pacomee, nashangaa kupewa ubuyu kuwa eti na aucho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo caren mbona analala na kuamka hapa kawe beach kwa proff pacome ila dada anatako laini sana anatutesa wapangaji wa hapa mnoooo
Kweli mjini kuna vurugu, kumbe ndio michezo yao hiyo?🤣
Sasa hivi pisi zinataka kung'ang'ania madon mpaka msimu wa valentine. Wajipost kuwa wamepewa zawadi na 'wapenzi'. Kumbe wamejinunulia kutokana na hela za masponsor mbalimbali 🤣
🤣Kweli mjini kuna vurugu, kumbe ndio michezo yao hiyo?
Sisi tukitolewa dinner wenzetu wanapewa range tunakubali ndio uwezo wetu, loh!
Komba, Swala, Papai, Haule, Mboro, NgonyaniSimba, Mapunda😆
Duuh huyu dada hajui kukataa hata, khaaaahAtakuwa anawachanganya basi, Aucho anapumzika hapo pia.
Mtuache wangoni, tumewakosea nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Komba, Swala, Papai, Haule, Mboro, Ngonyani
sawa tu mkuu, umeamua unichekesheKomba, Swala, Papai, Haule, Mboro, Ngonyani