Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Duuh huyu dada hajui kukataa hata, khaaaah
Sasa kuwachanganya aucho na pacomee hiyo vepee.

Ila Aucho kumuacha sumi, mbna ni mzuri kwa kila kitu yule dada.
Huenda walishindwana kitu tyuuh.
Caren ndio sifa yake kuu, unaambiwa ni balaa hana simile!

Sumi nae ni mdangaji mzoefu na anajirusha sana. Aucho alimpenda kweli na wakazaa kabisa ila ndio unaambiwa bibie alikuwa anamuacha mtoto mwenyewe anaenda kujirusha.

Aucho akamchukua mtoto ndio wakapelekana polisi, sijui iliishaje sasa!
 
Sikupingi Babu, na uko sahihi kwa upande wako...

Babu haya mambo umeanza lini lakini? Hii ndio faida ya kuwa na wewe hapa jamvini. Huoni mwenzako Mohamed Said anavyotupa historia mujarab?
Nyie ni tunu.
Asante Mjukuu πŸ€—

Hizi Elimu tunazo kitambo ila tunasita kuanza kuzifundisha as zinaweza kuleta mpasuko mkubwa huko ndoani kwenu.........

Hata kwenye lile darasa litakaloanza mwaka huu nitawazuia wale makungwi kufundisha hii Elimu 😜

Kwasasa endeleeni kuinjoi maisha..

Wanasema utamu wa Mvinyo huongezeka kadri chupa inapokaribia kuisha πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kumbe ndio maana IQ yangu inazidi kupaa? 🀣 🀣 🀣
Halafu hatuna stress, tunaburudika vya kutosha.
ila usisahau pia unpelekea Panga kurindima mwili mwa chanzo Cha Umbea kuelekea Wasambazaji Hadi wapokeaji.
Mloganzila ukienda hurudiπŸ˜‚.
 
Kwa kuwa umesisitiza basi ngoja nikuache. Tutapambana tu tutajifunzaga hukohuko, hata wewe hukuzaliwa ukiwa unajua 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…