Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kajua kumficha huyo mtotoBaraka huyohuyo, mtoto mkubwa tu wa miaka 7/8!
Kwa mfano ungependa kuwa na mchezaji gani wa sasa huko kwenye next life? 😜
Hahahaha,aiseeHersi itabidi aingilie hili kati kama alivyoingilia kwa Dogo wa ugali sukari na Juma Lokole!
Nyie hamjui tu, chanzo kikuu ni dogo kukatazwa mahusiano na Juma Lokole 🥱
Halafu ni zamani mnooo kabla hata wengine hawajamshtukia.Duuh kumbe Baraka alipita hapa? Kijamaa kilikuwa kinagonga pisi nzuri sana.
Basi nifundisha saa hizi😀, maana usije sahau uka Nipa formula ya kupika nyuki😀😀Ujitahidi kuwahi mapema....maana ninakaribia kuanza kusahau
Si unajua Uzee na ugonjwa wa kusahau ni mapacha 😜
Nasikia hakushindi we my teacher😀🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃.Ni mzuri kwa kiasi chake jamani
Mbawala nyoni/nyaniKomba, Swala, Papai, Haule, Mboro, Ngonyani
Hujaelewa? Sumi ni mdangaji hakuridhika na Aucho, bado alikuwa anadanga ileile.Sasa kwann kashindwa kumtuliza Sumi, khaaah
Wanasema unaweza ukamtuma mwanaume wa kingoni apeleke mahali pesa na ikafika yote lakini umtume asindikize mkeo lazima atamtafuna njianiWanaume wa kingoni wana mapenzi mazito
Muhimu kubali kua wengi😄
Livova, Komba, Nguruwe, TemboMbawala nyoni/nyani
Nae ana six pack au sioKaka mzuri wangu ni mtu wa mazoezi nae, hakuna jipya 😜