Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Sasa kwann kashindwa kumtuliza Sumi, khaaah
Hujaelewa? Sumi ni mdangaji hakuridhika na Aucho, bado alikuwa anadanga ileile.

Ujue wachezaji wako busy na ratiba yao ni ngumu, hivyo mwanamke unatakiwa kuwa mtulivu na mvumilivu haswa.

Ndio maana Mayele kajiopolea wa kufanana nae wala hana stress.
 
Unapigwaoigwa hivyo,nadhani Carren atakua anajuta kuchelewa kuachika na Da Prince,saa hizi anachezea kila size,kwa uhuru.
Na kawa na maisha ya juu mno! Huenda alikuwa na stress kuachana na Baraka 🤣🤣

Maisha haya? 🙌🏾
 
Back
Top Bottom