Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Naskia kumbuka haliwi yeye ila anawala yeye .hivo hata wadada watoa ndogo ndo wamemzunguka
Nani kakudanganya wewe? Hivi umewahi kumuona anavyotembea? Subiri siku nitakuwekea video.
Nilicheka sana

Yeye anawalipa watu kumfanyia huo ushenzi.
 
Huyu jamaa kuna mtu alinitonya ni chakula cha Mbunge mmoja ana mabasi yanayoongoza kwa kupakia abiria kwenye ule mji usiokuwa na bahari.
Haaaa acheni jamani! Labda ni ndugu yake, shombeshombe wale!
 
Toto lina bonge la tako .Hapo ni ugali muhogo na samaki chukuchuku+ vijisafari vinne+ vega 100.Ni kuachia mashuti ya mbali tu.
Hiyo Vega 100 ndio nini mkuu? Wengine wageni.
 
Back
Top Bottom