Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tu na wewe unataka uone🤣🤣🤣Sasa kama wewe umeona ndio wote wameona?
Da Mange anasema Hakuna wa kumzidi Harmo WCB nzima🤣🤣🤣Huwezi kuamini ile video yake ya zima taa sijawahi kuiangalia, huwa naikwepa tu roho yangu inakataa.
So nasikia tu na mimi 🤣🤣
Hivi ile ndoa yake na mnaija iliishaje ishaje....naona karudi sokoniUkute?
Unaogopa dyudyuuu🤣🤣🤣Mimi kila nikitakaga kuangalia nafsi inasita sijui kwanini?
Na ndio sitokaa niangalie, acha tu nisimuliwe.
Hawakukutana matapeli wawili kweli, manake wanaija nao sio.Sokoni karudi ana miaka miwili kama sikosei, sio ndoa tu shoga na mtoto juu!
Yule kaka nae sijui alirogwa? Mdangaji anaolewa tokea lini?
Endelea tu kumuheshimu babe wako, hawana maajabu.Umejuaje hawana chochote? 🙄
Ushaanza cha umbea🤣🤣🤣 we elewa neno hawana maajabu.Shoga mbona kama unajua mengi sana? 🤣🤣🙌🏾
Nipe dau lake na mie nikojolee pazuri japo kabla sijafaBongo kawaidaaa sana ili mradi umefika dau ..!! Posh Queen ukute Mond.. Harmonize..Fred vunja bei pengin na Kiba kila mtu anaichapa kwa muda wake
Dogo P, phd c yuko na mbunge ambaye walishare na the greatest, yaan greatest anapenda hela yule hakataiiiKwa nani sasa, PhD au huyo dogo P?
Mkuu wa Mkoa tena? Kuna mtu alisema hapa Mbunge!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyie nyie nyiee,embu leteni huo ubuyu basi
Hapana kilikua kijiwe tyuuh.Kwamba alikuwa anahudumu hapo saloon?