Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh ni kweliii, nimepata ubuyuu lakini inasemekana lokolee alikua anafosi, ndo fei ilibidi awe ana mmega kumridhisha, na alimuambia hataki drama za matangazooNenda kaulize vizuri, Lokole alijua kulipambania hilo penzi la kishetani [emoji1787][emoji1787]
Kumbuka si alikua na yule mtumbuliwa wa mkoa wa kula mbwa, tena baada ya kuachana na lokoleee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ‘mume’ wake anayefahamika ni nani?
Si umeona nilikwambia Lokole alipigania penzi? Yani alipambana mpaka akampata Fei, nilihuzunika mnoooo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh ni kweliii, nimepata ubuyuu lakini inasemekana lokolee alikua anafosi, ndo fei ilibidi awe ana mmega kumridhisha, na alimuambia hataki drama za matangazoo
Nkasema ndo maana sikua najua, na pia kumbe wakat yuko na wa azam na fei alikuwemo, ndo maan mie nkajua wa azam tyuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie hakuna wa kuja Home, ila tutakutana huko kijiweni, mtaani etc.Safi sana, mwenyewe nimeshasema sitaki urafiki kwa kaka mzuri wangu!
Sitaki kabisaaaaa.
Ila mwaya sinaga mashoga, wa kutembeleana home sijui nini hapana.
Tuishie hukohuko makazini na barabarani.
Ngoja kwanza, twende taratibu ubuyu unanipa wa moto mfululizo mpaka napaliwa 🤣🤣🤣🤣Kumbuka si alikua na yule mtumbuliwa wa mkoa wa kula mbwa, tena baada ya kuachana na lokoleee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbuka sahv yuko na waziri mpyaaa, jimbo lenye jina la gereza.
Kuwadii km kuwadiiiSasa kwani atagongwa bure sii atapewa hela na mie npata kamishen hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bro hakuna mtu aliyehonga kama mm.
Mm nilihonga mkuu mpaka vidhibiti vya kesi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Nikatimuliwa kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambia anaiba nyota, muulize shost wa Wema, alikombwa nyota zoteee, hela anapewa anafanyia kisicho eleweka.Sasa huyo mbunge ndio anafanya hivyo sababu ya zile biashara zake au vipi jamani?
Dah
Shost yupi? Yule Shangazi au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambia anaiba nyota, muulize shost wa Wema, alikombwa nyota zoteee, hela anapewa anafanyia kisicho eleweka.
Kwenda kwa sangoma kumbee nyota zote hazipo, mwenzake anashusha ndinga kila leo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na anapenda nyuma yule baba, tena kwa gays au me, yuko tayar kupanda dau ili straight amgeuze Gay.
Nyie lokolee atakufa mwili unachucha majii, unajua anawapanga foleni wanaume? Haogopiii hata.Si umeona nilikwambia Lokole alipigania penzi? Yani alipambana mpaka akampata Fei, nilihuzunika mnoooo!
Ndio Injinia kuingilia kati, ugomvi ukaibuka mpaka mambo ya sukari!
Huyo wa Azam ndio naniiiii?
Mi Lokole nilikuwa namtetea nyie acheni tu. Ila nasikia nae ana mishangazi yake Tabata huko.Nyie lokolee atakufa mwili unachucha majii, unajua anawapanga foleni wanaume? Haogopiii hata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu chapombe hana mambo hayo, ni yulee kijana bhana, wew yule si ndo alimpa mtaji wa biashara ya mazao lokoleee.Ngoja kwanza, twende taratibu ubuyu unanipa wa moto mfululizo mpaka napaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtumbuliwa huyu aliyeko jiji la maraha sasa hivi au?
Acha masikhara bwana, kale ka kaka kenye mashauzi? Kanakojiita ka kishua? [emoji87]
M.KShost yupi? Yule Shangazi au?
Waliachana Leo? Yule mzee alianza kufulia, posh akaona ajiondoshee, kikubwa kaachiwa mtoto.Poshy Queen kwanini aliachana na yule mume wake Mnaijeria?
Tobaaaaaa! Basi nimeshamjua mwaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu chapombe hana mambo hayo, ni yulee kijana bhana, wew yule si ndo alimpa mtaji wa biashara ya mazao lokoleee.
Ye mwenyewe anajifanyisha mkulima hodariii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lokolee hana maalumu, yaan yeye kila mtu wakee,Mi Lokole nilikuwa namtetea nyie acheni tu. Ila nasikia nae ana mishangazi yake Tabata huko.
Mwanaume wake Mkuu si yule muuza perfume maarufu?