Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Kufa halafu una shinda tena. Hii ni mpya kwanguHahahaha kuna tofauti kati ya hamas na nyie wagalatia nyie mnaogopa kufa wakati Hamas kifo ni ushindi🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa halafu una shinda tena. Hii ni mpya kwanguHahahaha kuna tofauti kati ya hamas na nyie wagalatia nyie mnaogopa kufa wakati Hamas kifo ni ushindi🤣
Nani kakuhadithia hayo?Sasa na wewe unavyoshangilia vipi?
He is not the first, will not be the last. It is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️I feel sorry for his family that will be left on earth alone.
Mwenzake mwezi wa nane kakalia kiti, mwezi wa kumi kaondolewa.
Ukiwa vitani usiogope kufaBora wasitangaze viongozi wao
Kumbe Yahaya Siniwari kauliwa. Sasa mbona alikuwa akiishi kwa kujificha wakati haogopi kufa.Hahahaha kuna tofauti kati ya hamas na nyie wagalatia nyie mnaogopa kufa wakati Hamas kifo ni ushindi🤣
He is not the first, will not be the last. It is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️Kupewa uongozi wa kundi la kigaidi hakuna tofauti na kufungwa mabomu/vilipuzi mwilini ili ukajitoe muhanga.Huna hiyari hata ukilia na kutia huruma.Ukipewa tu wewe ni "the number one walking dead "!Alale peponi kamanda in advance!
Kumbe Yahaya Siniwari kauliwa. Sasa mbona alikuwa akiishi kwa kujificha wakati haogopi kufa.
Halafu kwenye sizifaya (ceasefire) negosiesheni alitaka kipengere cha yeye kutowindwa au kuuliwa na wagalatia. Itakuwa alikuwa amechanganya na damu ya kigalatia huyu sio bure, hadi anaogopa kifo
Sawasawa.Kazi iendelee.He is not the first, will not be the last. It is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️
Kila raia wa palestina ni mpigania uhuru anapambana nchi yake .Kupigania uhuru ni uzalendo tu Wala elimu haihitajiki. Wale wakina kinjekitile ngwale na mkwawa walikua hawana elimu yeyoteHao Viongozi muwe mnaweka na elimu zao na vigezo vya kuwa Viongozi .........
He is not the first, will not be the last. It is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️Naye ataliwa kichwa kabla ya October kuisha
Kumbe Yahaya Siniwari kauliwa. Sasa mbona alikuwa akiishi kwa kujificha wakati haogopi kufa.Hahahaha kuna tofauti kati ya hamas na nyie wagalatia nyie mnaogopa kufa wakati Hamas kifo ni ushindi🤣
Kumbe Yahaya Siniwari kauliwa. Sasa mbona alikuwa akiishi kwa kujificha wakati haogopi kufa.
Halafu kwenye sizifaya (ceasefire) negosiesheni alitaka kipengere cha yeye kutowindwa au kuuliwa na wagalatia. Itakuwa alikuwa amechanganya na damu ya kigalatia huyu sio bure, hadi anaogopa kifo
Kumbe ameenda paradiso, sijui nani kamuona na kaleta hiyo taarifa huku duniani. Isijekuwa wanatufunga kamba tuendelee kuuliwa na wagalatia halafu watu wenyewe hawaendi hata huko paradiso.
Till victory? Say it again loudly sirHe is not the first, will not be the last. It is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️
Palestine Freedom will be achieved soon or later..Till victory? Say it again loudly sir