Tetesi: Khalid Mish’al anaweza kuwa kiongozi anayefuata wa Hamas

Tetesi: Khalid Mish’al anaweza kuwa kiongozi anayefuata wa Hamas

Wanaukumbi.

BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS

Kuna muundo wa uongozi uliowekwa
=========================

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Teh teh teh! Kama ni hivyo basi naye siku zake za kwenda waliko akina Nasrala, Hanaya, na Sinwar, zinahesabika.

Ila nahisi kama vile hatoikubali hiyo nafasi, unless labda awe amechoka kuishi 🤣.

Btw, pole sana msemaji na mwakilishi wa Hamasi hapa JF.
 
Palestine Freedom will be achieved soon or later..
I never thought this can be day dreaming or otherwise.

To keep waiting for such an achievement, your intelect must be suspended anyway........
 
I never thought this can be day dreaming or otherwise.

To keep waiting for such an achievement, you intelects must suspended anyway........
He wished for martyrdom, and he attained it by the grace of God, like other men in the time of the scoundrels.
We congratulate Yahya Sinwar, who was martyred with his rifle in his hand, defending his religion, his country, and his honor. We offer our condolences to every gloater and coward without honor or dignity, who rejoices at the death of a believer at the hands of an infidel .
 
Mbona husemi anaweza kuwa anayefuata baada ya wengine "kutangulizwa" kupata mabikira 72 na kunywa mvinyo mtamu kutoka kwenye mito inayotiririsha mvinyo huo?
Unakosea mabikra 73 unamsahu Bikira Maria.
 
Huyu ndiyo muasisi wa Hamas aliuliwa mwaka 2004, baada ya kifo chake Hamas wanapambana Hamas ni ideology, siyo mtu huwezi kuwamaliza Hamas kwa kuuwa watu wao zadi ni kuwapa nguvu. Tofauti na nyie wagalatia mnaogopa kufa😀
Nimeuliza aliyekuwepo kaenda wapi unahangaika na kubwabwaja. Ambaye haogopi kufa angekalia bomb asingekuwa anajificha. Kafa na kuzikwa kama mbwa.anyway akapate 72 bikra.
Screenshot_2024-10-17-22-30-46-094_com.instagram.android~2.jpg
 
Wewe umeifahamu Hamas kupitia JF ngioja nikupe darsa kidogo wewe mlokole huwenda ulikuwa bado upo Utegi au kwenye zipu.

Tarehe 22 Machi 2004, kiongozi wa Palestina na mmoja wa waanzilishi wa Hamas, Ahmed Yassin, 67, aliuawa katika mji wa Gaza. Sheikh Ahmed Yassin - ambaye alitumia kiti cha magurudumu kwa sababu ya kuwa na ulemavu wa miguu tangu ujana wake - alikuwa akirejea kutoka kuswali Swalah ya Alfajiri, na masahaba zake pia waliuawa mara moja.

View: https://x.com/Philipp27960841/status/1846965852731818147?t=aLy3OMZREx-B-Es17bIdyw&s=19



God Bless Israel
 
Hawezi kukubali huyo bado anakumbuka alivyopuliziwa Sumu huko Jordan 😆
 
Back
Top Bottom