matatizo yote haya tuliyonayo yanachangiwa na uongozi mbovu katika nchi zetu,tukiweza kusolve tatizo hili tu basi tunaweza kumaliza matatizo yote tuliyonayo katika nchi zetu..Nimekuelewa sasa tuamke sasa
Ahaa mimi sikurudi na kitu ila nilirudi na knowledge na exposure kubwa tu ambao ni mtaji mkubwa sana kwanguHuwa najiuliza kwanini watu wengi walioenda Marekani huwa wanarudi nchini wakiwa hawana kitu huku akili zao kama haziko sawa... wewe mdukuzi na Lemutuz huwa ni mifano hai ya karibu. Nina ndugu yangu alikuwa akija likizo anafikia hoteli ya kitalii five star. Hadi siku anarudi bongo hakuwa na kitu. Alifariki katika umaskini wa kutisha. Lema nae kwenda tu Canada amerudi kawehuka..!! Inasikitisha sana. Matatizo ya Afrika hayawezi kutatuliwa kwa kutumia mbinu za mabeberu.
Hakuna haja ya kuwaponda bodaboda au VICOBA kama vile ndo mbinu ya kutatua tatizo. Tulicho nacho mkononi ndo kitatuvusha na sio vinginevyo. Kama bodaboda imeonyesha matokeo mazuri basi tuboreshe badala ya kuropoka kwamba ni laana. VICOBA navyo viwekewe utaratibu mzuri kila kitu kitakuwa sawa.
Nchi kama Sweden, Finland, Norway,China,India.Kwa mfano nchi gani zinazotupa msaada kabla ya uhuru tulikuwa nazo sawa kiuchumi!?.
Mjerumani alifanya hayo unayoyaita maendelea kwa ajili tu ya kurahisisha shughuli zake ndani ya koloni..
Reli, barabara,madaraja yalijengwa maeneo ambayo kulikuwa na uzalishaji kwenye migodi na mashamban hili kurahisisha usafirishaji katika maeneo hayo
Malaysia ,Singapore zilikuwa sawa tu na sisi,kilimo kimewatoa kwenye umasikini sisi tuna mabonde maji ya mito yanaishia bahariniKwa mfano nchi gani zinazotupa msaada kabla ya uhuru tulikuwa nazo sawa kiuchumi!?.
Mjerumani alifanya hayo unayoyaita maendelea kwa ajili tu ya kurahisisha shughuli zake ndani ya koloni..
Reli, barabara,madaraja yalijengwa maeneo ambayo kulikuwa na uzalishaji kwenye migodi na mashamban hili kurahisisha usafirishaji katika maeneo hayo
Tuna tatizo kubwaNchi kama Sweden, Finland, Norway,China,India.
Kutawaliwa sio kisingizio cha kuwa masikini, USA,China,India, Uingereza zimeshawahi tawaliwa.
Mikoa yote mikubwa imejengwa imepangiliwa na wao chek mji wa Arusha,Dar, MWANZA,Mbeya, Ruvuma, Dodoma nk sisi hata tu kupanga miji hatuwezi.
Miundombinu inafata watu leo ni tabu ukitaka kujenga barabara ni lazima ulipe fidia watu.
Kwanini miji hata huko maporini wasipeleke miundombinu then watu ndio wafate miundombinu.
Uzembe + wizi wa kodi zetu + kuishi maisha ya kwenye tv (ubishoo) + mwanaume anatembea na leso eti hataki kuchafuka, atafanya kazi ya aina gani kweli mwanaume dizaini hiyo? Atazalisha mali kweli huyo!Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Ulioa kibibi kikafariki ukarudi bongo!!!Ahaa tulidundana
Nadhani wewe ulikuwa USA ya Bariadi!! GamboshiNimesoma HGL nilisoma sehemu kuwa karne ya 15 Africa na Europe zilikuwa almost the same,niko tayari kukosolewa
Yaani wazurulaji wawili mmekutana mnasapotiana upuuzi vile!Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Watu kama nyinyi mnashindwaje kutafakari zaidi? Mandela hatakuwa amelia kwa sababu ya serikali ya Tanzania kushindwa kuendeleza watu wake ili hali imejitawala! La! Alilia kuona hali aliyotuweka yeye, sisi waTanzania - yaani Tanzania kutumia rasilimali ndogo iliyo nayo, kusaidia kukomboa nchi nyingine, Mozambique, Namibia, Zimbabwe, Angola, etc. Alilizwa, kuona Tanzania inawekewa vikwazo na waingereza, wajerumani etc. Sababu ya kupigania uhuru wa watu wengine! Ndicho kilichomliza hasa!Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
Tumetoka kwenye ukoloni wa mwendazake sasa ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Ila hata ungekuwa wewe unawapinga makaburu unafungwa miaka 26 unakuta nchi inawaka,ina maendelei makubwa,ukaenda nchi inayojitawala mji umejaa slums ungejisikiaje,Africa tuna tatizo kubwa tukubali tuWatu kama nyinyi mnashindwaje kutafakari zaidi? Mandela hatakuwa amelia kwa sababu ya serikali ya Tanzania kushindwa kuendeleza watu wake ili hali imejitawala! La! Alilia kuona hali aliyotuweka yeye, sisi waTanzania - yaani Tanzania kutumia rasilimali ndogo iliyo nayo, kusaidia kukomboa nchi nyingine, Mozambique, Namibia, Zimbabwe, Angola, etc. Alilizwa, kuona Tanzania inawekewa vikwazo na waingereza, wajerumani etc. Sababu ya kupigania uhuru wa watu wengine! Ndicho kilichomliza hasa!
Sasa mtu ambaye hajui maendeleo na mateso ya waafirica - Afrika Kusini, USA, UK etc. Atafikiri hawa wameendelea kwa sababu hawakulaaniwa. Waafrika wengi - mamilioni kwa mamilioni walikufa/waliuawa ili wazungu waweze kuleta ambulance dakika nne ajali inapotokea!
Halafu Mnamnanga Magufuli ambaye alianza kuwaletea maendeleo kidogo, watu wawili, wakafa au Wakapotea! Maana kwa America, Africa ya Kusini ambapo malaki na malaki ya waafrika waliuawa ili wapate maendeleo, mnaona hiyo sawa hawakulaaniwa.
Msione vyaelea vyaundwa. Watu wamekufa na kunyimwa haki zao huko mnakohusudu ulaya na marekani. Hapakuwepo na demokrasi mnayo imba kila siku.
Mpaka sasa UK hamna hata katiba mpya wala kuukuu!
Kuwa dormant siwe kigezo kilicho tufanya tuwe nyuma,issue je china haikutawaliwa na Japan?,kumbe hapa tatizo ni kwamba Africa muda wake wa kujitawala ulikuwa Bado haujafika,hatuna vision katika mataifa yetu zaidi kila kitu tunatanguliza siasa na matumbo yetu katika issue kubwa za kitaifa,nakumbuka SA katika zama za makaburu ilifikia hatua ya kuanza kutengeneza siraha za nyuklia, assume baada ya muafrika kuchukua madaraka SA sio SA Ile ya mkabulu, Africa vinatutesa vitu vitatu;Upo sahihi yaani kuanzia karne ya 1 mpk kufikia ya 15 we were almost the same(lakini sio sawa exactly maana kuna vitu walituzidi vingi tu) kama nilivyoeleza hapo kuanzia karne ya 15 mpk uhuru kwa zaid ya miaka mia tano waafrica wamepitia majanga makubwa sana yaliyowarudisha nyuma wakati kwa miaka hiyo wenzetu wa mbele wapo active na wakawa wanazidi kuendelea kwenye nyanja zote..
Hitimisho langu likawa hatuwezi kuwa the same wakati kwa miaka mia tano tulikuwa dormant na wenzetu wakawa wanaendelea kujenga uchumi wao kwa muda huo..
Sisi waafrica hatuna hata miaka mia tangu nchi zetu zianze kupata uhuru kwa hiyo kujifananisha na watu wao na kujiota tuna laana ni unfair kabisa..