Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Hakuwa na marekani Karne ya 15 labda kuanzia ya 16(1770's)

Labda kama unataka kupigilia msumari hoja Yako lakini Ina chembe za fallacy.
 
Nakufuatilia comment zako na nakuelewa vizuri,napenda unavyochambua bila kuweka mambo ya vyama au nchi unajaribu kuongekea Africa as a whole,ni kweli Africa tuna matatizo yanayofanana
 
Kwa hiyo kazi ya Lema ni ipi wewe Babu jinga? Kutukana watu maskini au?
 
Wewe ni mpuuzi unataka kila anekuja tz akuonyeshe asset anazomiliki,usijilinganishe na Lemutuz baba yake alishamwandalia maisha hapa Tz kitambo
 
Na hao wanaowapa hizo raha huko majuu waambieni waache kuwatumia vibaraka wao huku hadi.mkose panadol
 
Kusaidia ukombozi nchi za africa kumekusaidia nini wewe maskini wa tandale,Julia's alikuwa anapenda sifa aonekane shujaa
 
Hakuwa na marekani Karne ya 15 labda kuanzia ya 16(1770's)

Labda kama unataka kupigilia msumari hoja Yako lakini Ina chembe za fallacy.
Marekani ipo tangu karne ya kwanza lakini Foreigners walianza kuingia karne ya 15..Before karne ya 16 Marekani tayari kulishakuwa na empires kubwa kama Aztecs na Incas na walikuwa tayari wameendelea kidogo kwenye masuala kadhaa hususani kilimo cha mahindi cha mashamba makubwa na maritime technology pia..hiyo Marekani ya kuanzia karne ya 16 ilikuja kuendelezwa na wazungu lakini maendeleo yalikuwepo before ambayo yaliizid baadhi ya empire za Africa pia
 
Kwa hiyo kazi ya Lema ni ipi wewe Babu jinga? Kutukana watu maskini au?

Ndio nakuambia katafute wajinga wenzio ndio uwaambie kuwa mbunge kafanya jambo fulani la maendeleo. Na kwa kusaidia ni kuwa kuwa kazi za mbunge ni tatu nazo ni :
  1. Mwakilishi wa wananchi wake bungeni.
  2. Kutunga sheria akiwa bungeni.
  3. Kuisimamia na kuishauri serikali.
Hizo hapo juu ndio kazi za mbunge, na zote hizo Lema kazifanya. Ni wapi inaonyesha mbunge analeta maendeleo? Au ni wapi inaonyesha mbunge anakusanya kodi kwa ajili ya kuleta maendeleo? Wajinga wa aina yako ndio huwa wanadanganywa kuwe mbunge analeta maendeleo. Hivyo mradi wowote ukifanyika kwenye eneo hilo, wanasiasa matapeli husema mbunge ndio kaleta.
 
Sisi karne ya 21 mahindi yanatushinda kulima
 
Labda kama ni mwakiloshi wa nyie mataahira
 
Na wewe pia hukujua kuchagua maneno ungesema “baadhi ya Watanzania wana laana”
Sasa na mimi nakurudishia mwenyewe hiyo laana maana unayo wewe na wanao na ndugu zako wote mpaka kizazi cha nne walahi[emoji35]
You hollow pathetic mind walahi[emoji35]
 
Labda kama ni mwakiloshi wa nyie mataahira

Ndio maana nakuambia ww ni wale wajinga mnaodanganywa kuwa maendeleo yanaletwa na mbunge na mnaamini. Leo nadhani umepata elimu ya kazi za mbunge, ndio maana umeishia kujibu huu utoto maana ulikuwa hujui lolote. Kama uko hapa jukwaani umeishia kubeba upotoshaji kuwa Lema Kawa mbunge kwa miaka 15, utakuwa unajua lolote sasa.
 
Tangu lini Chadema mkawa na akili? Mnachoweza nyie ni ulalamishi,kutukana,kulaumu,kuorodhesha shida za Watzn na mkijitahidi mtasema ooh Marekani,sijui canada mara Malaysia kukosa vile na hivi ila you have no solution.

Wapuuzi nyie ndio maana mnaangukia pua miaka na mikaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…