Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Bado jirani acha yaendelee tujikute mbweni au masaki ๐Hivi bado kumbe mafuriko hayajaisha..?? ๐
Niulize basi ushanifanya nikae mkao wa kuulizwa swali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado jirani acha yaendelee tujikute mbweni au masaki ๐Hivi bado kumbe mafuriko hayajaisha..?? ๐
Ngoja nikuulize namba yako si inapatikana??Bado jirani acha yaendelee tujikute mbweni au masaki ๐
Niulize basi ushanifanya nikae mkao wa kuulizwa swali.
Ile inayoishia na 3?Ngoja nikuulize namba yako si inapatikana??
kweli Jamiiforum imechakaa[emoji1787][emoji23] hadi wacheza madubwi wamo humu
Tupa huko trash hela gani umaskini tupu, hakuna mwanaume timamu mwenye malengo anaeshiriki huu uchafu na takatakaDUBWI Lina hela ukilijulia
Mimi nishacheza sana hili dubwana, nishaliwa sana na kula sana, ila mtaji wangu hua naanzia 100k nikiutafuta mkanda huku nikicheza na number za michezo zinazojizungusha kwenye kile kidude cha katikati kinachotoa maandishi mekundu na bonus. Naweza nikaliwa mpaka 70k na michezo 4-7 inaofuata mmoja ukanipa 180-200k naacha kucheza. Huwa sichezagi dubwi ya aina yote, ninalolijulia ni lile lenye mnyama mkubwa Tembo, alafu 20 Simba, Kichuya na Nyati.Kuna watu wanaliwa kwenye dubwi mpaka wanachanganyikiwa.
Nishashushudia jamaa ameliwa laki 2 ya mtaji wa biashara ya mke wake kwenye dubwi.
Mkewe alimtuma akamnunulie vifaa vya kupikia vitafunwa kwa ajili ya biashara na ndo pesa pekee waliyokuwa nayo.
Jamaa kapita karibu na dubwi akapata tamaa acheze kidogo ale angalau elfu 50 sasa kwenye kucheza akajikuta kaangia hasara akawa anafosi arudishe angalau pesa aliyokuja nayo kilichomkuta pesa yote ikaliwa akaweka bondi smart phone yake kwa elfu 20 nayo ikaliwa.
kilichomponzaga alikuwa anawa dabo dabo wanyama anawaweka hata mara tano Tano ila return inakuja ndogo mwisho akarudi mweupe.
Mwingine katoka Moro kwenye kazi za ujenzi karudi na kwenye laki na ushee kabla hajafika kwake kaanzia kwenye dubwi mwisho wa siku kaliwa yote
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐kweli Jamiiforum imechakaa๐คฃ๐ hadi wacheza madubwi wamo humu
Nimecheka mpaka mke wangu kanishangaa..๐๐๐๐kweli Jamiiforum imechakaa๐คฃ๐ hadi wacheza madubwi wamo humu