Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Hahaha! Sawa madamWatu km nyie smart mtayajuaje madubwi?
Ni zile bonanza za wachina, Kamari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Sawa madamWatu km nyie smart mtayajuaje madubwi?
Ni zile bonanza za wachina, Kamari
Mi na kamari wapi na wapi jirani??Jirani nna hakika huu mchezo haujakuacha salama
Kuna siku kama nilikuona na baba levo jirani, yule anaonekanaga na wakamaria tu 😂Mi na kamari wapi na wapi jirani??
Baba Levo nasikia kadundwa na Harmo kisa walikuwa wanagombaniana pesa za tajiri kwenye cassino 😂😂😂😂Kuna siku kama nilikuona na baba levo jirani, yule anaonekanaga na wakamaria tu 😂
😂 nimesikia pia kapigwa mpaka pua imekuwa ndogo.Baba Levo nasikia kadundwa na Harmo kisa walikuwa wanagombaniana pesa za tajiri kwenye cassino 😂😂😂😂
Nilivyoisikia hii story madogo wanasimuliana nilicheka..
Mhmm.!! Jirani ww muongo sasa!!😂 nimesikia pia kapigwa mpaka pua imekuwa ndogo.
Sasa huamini au, alipigwa pigo moja hilo linaitwa kata pua 😂Mhmm.!! Jirani ww muongo sasa!!
Pua ile iwe ndogo kwa kupigwa?? 😂😂😂
Hawa ndiyo mambo ya jamii forum.ajabu lijitu liutuzima linacheza dubwi?Kuna watu wanaliwa kwenye dubwi mpaka wanachanganyikiwa.
Nishashushudia jamaa ameliwa laki 2 ya mtaji wa biashara ya mke wake kwenye dubwi.
Mkewe alimtuma akamnunulie vifaa vya kupikia vitafunwa kwa ajili ya biashara na ndo pesa pekee waliyokuwa nayo.
Jamaa kapita karibu na dubwi akapata tamaa acheze kidogo ale angalau elfu 50 sasa kwenye kucheza akajikuta kaangia hasara akawa anafosi arudishe angalau pesa aliyokuja nayo kilichomkuta pesa yote ikaliwa akaweka bondi smart phone yake kwa elfu 20 nayo ikaliwa.
kilichomponzaga alikuwa anawa dabo dabo wanyama anawaweka hata mara tano Tano ila return inakuja ndogo mwisho akarudi mweupe.
Mwingine katoka Moro kwenye kazi za ujenzi karudi na kwenye laki na ushee kabla hajafika kwake kaanzia kwenye dubwi mwisho wa siku kaliwa yote
We liongo 😂Sasa huamini au, alipigwa pigo moja hilo linaitwa kata pua 😂
Jirani lini nimewahi kukuongopea? 😎We liongo 😂
Si km hivi 😂Jirani lini nimewahi kukuongopea? 😎
Jirani siwezi kuongopa na ni kwaresma.Si km hivi 😂
Hivi jirani kwaresima unafunga kweli??
Tena kuna kitu nataka nikuulize muhimu sana..!! Ss hivi ndio nimekumbuka.Jirani siwezi kuongopa na ni kwaresma.
Niulizie kwenye jukwaa la dini nitakujibu
Unataka uniulizie wapi jirani, hapa au Piiiiiii em au kwa hapa dirishani linalotazama gorofa lako?Tena kuna kitu nataka nikuulize muhimu sana..!! Ss hivi ndio nimekumbuka.
😂😂😂 Koh koh kohUnataka uniulizie wapi jirani, hapa au Piiiiiii em au kwa hapa dirishani linalotazama gorofa lako?
Si lilibebwa na maji umesahau tupo wapi? 😂😂😂😂 Koh koh koh
Ghorofa lipi tena?? Hivi bonyokwa siku hizi kuna maghorofa??
Halafu kweli niko serious kuna kitu nataka kukuuliza sema nasahau..!!
Hivi bado kumbe mafuriko hayajaisha..?? 😅Si lilibebwa na maji umesahau tupo wapi? 😂
Kwahiyo hata sasa umesahau?