Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Mara ya kwanza na mara ya mwisho nilikua na mia 6 yaani mia 2 zilikua 3... nikaweka ya kwanza ikaenda, nikaweka ya pili ikaenda... nikaweka ya 3 ukarudi mia 6 yangu.... Nilivyozichukua sikuangalia nyuma tena