Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,Bora kubet
Ukibeti pesa inachelewaKama una akili timamu beti
Wacheza kamari wengi huwa wanajidai wanaujulia mchezo na wazee wa strategy, kitu hawajui ni kuwa mchezo mzima upo rigged dhidi yao.DUBWI Lina hela ukilijulia
Si kila dubwi la kucheza na epuka kucheza dubwi peke yako kama una pesa ya mawazoWacheza kamari wengi huwa wanajidai wanaujulia mchezo na wazee wa strategy, kitu hawajui ni kuwa mchezo mzima upo rigged dhidi yao.
Kwenye DUBWI unabeti small na bigDah,
Kwa maelezo ya mtoa mada nikadhani dubwi ndio kubeti
Hukosi laki 5 kama faida.je io dumbwi nikisema niweke era ya sait raki 8 yote je nitapata shingi ngap?
Dubwi ni mchezo Gani?Ila jf ina kila sample ya watu ni ww tu kuchagua mbavu pa kuziumiza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya wacheza DUBWI mnaitwa huku
Acha kabisa huo mchezo wa kulengesha Mia 2 kwenye tundu 1 usijaribu kabisaDubwi ni mchezo Gani?
Wewe unataka kumtia mwenzio hasaraHukosi laki 5 kama faida.
Nimeuliza tu ila sijawahi kucheza mchezo wowote ule wa kubahatishaAcha kabisa huo mchezo wa kulengesha Mia 2 kwenye tundu 1 usijaribu kabisa
Basi kaa mbali na hilo Dubwi mchina akili nyingiNimeuliza tu ila sijawahi kucheza mchezo wowote ule wa kubahatisha
Limesetiwa km ikaingia Laki basi itatoa ELFU 10 yaan kwenye 100 mchina anakupa 1 alafu 99 zote za kwakeKuna vijana wa hovyo hiki kizazi sijawahi kuona
Yaani mchina atengeneze libox aweke vi program vya muziki na kuzungusha hela ili Kila siku atoe asilimia Moja na asilimia 99 aichukue, dude ambalo huna Cha kufanya zaidi ya kudumbukiza hela tuu Wala huwezi kucheza tusema unalizidi akili. Kweli ukaweke hela yako unatarajia kutoboa kweli au kumpa sadaka mchina? Nipo karibu na baa Fulani naona mchina anakuja Kila asubuhi anslifungua na kutoa fedha na kuweka kwenye mifuko mikubwa. Kweli Watanzania Wana mtindio wa ubongo
Huwa naona wajinga Sana vijana wanaoweka hela kwenye hilo dudeLimesetiwa km ikaingia Laki basi itatoa ELFU 10 yaan kwenye 100 mchina anakupa 1 alafu 99 zote za kwake
Kuna mpuzi mmoja kanifata sna kunishawishi nijiunge na bettingKwakwel sijawahi kucheza kamali maisha yote mpaka hapa napoandika hii post
Ndio tumefikia huku serikali ikalitazame hili swala
Sasa hzo Pesa za harakaharaka ndio zinazotumalizaUkibeti pesa inachelewa