Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Tukio kama hili lilishanitokea 2011 kuna demu Fulani nilimtokea tukapanga tuonane dah sitasahau nimejikoki mfukoni Nina 25000 demu kaja na rafiki zake wawili aseee walipiga kitmoto na vinywaji bili ilisoma 58000 kilichoniokoa ni sehemu wananijua niwawaidi wanipe siku3 ntaleta ilopelea kibaya zaidi ata demu mwenyew sikuwahi baatika kumgonga
 
mhn..tinsela au??
 

Kifupi tu wewe ni boya

Mwanafunzi wa chuo unamchukulia taxii kutoka mjini mpaka magu

Kwanini asipande zile costa au hiace tu
 
siri ya kambi hii mzee baba.
 
na mm nimeshangaa sana aisee.magu mwanza tax mkuu,na dem mwenywe wa chuo,,huyo dem atakuwa mweupe si unajua Mwanza tena.
Kifupi tu wewe ni boya

Mwanafunzi wa chuo unamchukulia taxii kutoka mjini mpaka magu

Kwanini asipande zile costa au hiace tu
 
na mm nimeshangaa sana aisee.magu mwanza tax mkuu,na dem mwenywe wa chuo,,huyo dem atakuwa mweupe si unajua Mwanza tena.

Mkuu hata kama ni mweupe jamaa alizingua na gharama alijitakia mwenyewe,

Huyo alikuwa anapewa nauli ya kuja mwanza,

Akifika mwanza unakwenda kumpokea kwsho mnaweza kulala town siku hiyo,

Kesho yake mnakwenda home kwa zile gari zinazokwenda musoma na sirali

Hapo angetumia pesa kidogo tu tena ya kawaida sana

Matumizi mengine sawa ila hiyo 90000 ya taxiii aiseee wakati nauli pale hata 5000 sidhani kama inafika
 
Iko siku nakwambia. Iko siku utajua wivu sio dawa.

Ngoja kwanza ninyoe hizi nywele za chini. Ni siku nyingi sana hujaninyoa. Najiuliza basi nabaki nikicheka tu nhi nhi nhi

Aahahahahahha Baabuuuuu mie na weye tenaaaa, wivu ni kidonda nikikipaka asali ya tabora shurti kipone na hapo nakushushia na huba la Tanga balada ya Grants nakuwekea Bohaaa ahahahahhahaa utajikuta tuu unanitizama kwa jicho la Mahaba lenye codes zote za kuelekea uwanja wa sarakasi aahahhahahahaaa.

Usinyoe banaaa unajinyoaje na mie nipooo, hujui ile kozi ulinipeleka Malaysia ya kunyoa vuzi kwa kutumia ulimi... ?? umesahau? sasa kwanini upate shida ya kuinamisha shingo Babu na weweee ahahahahahaa

Unajiuliza nini Babuu ning'ate basii nikujibuu kimahaba huku nikikupetipeti upara wako aahahahahahahhaaa

Matata K.
 
Mimi actually kuna Demu moja nilikua nakula sasa ikatokea bahati mbaya amenasa ujauzit aliponiambia sikuamini, ikabidi nimpeleke regency kupima [emoji23][emoji23] nilishika adabu yangu cost niliotumia
 
Mimi mwanaume akinipa pesa baada ya kupigwa ukuni sipogo comfortable kabisa.

Naona kama ananilipa malipo ya service, yaani maana yake nilikua najiuza kwake.

Sipokeagi. Bora unipe another day nikiwa fresh minded.
Hata 1.5m mama debora??
 
NOOOO JAMAA ALIKUFAIDI SANA TENA ALIACHIA NYINGI SANA INAONYESHA MAANA ALIKUWA HAFIKIRII GARAMA

Oooh kumbeee, nilishasahau uzee huu looh.

Asante kunikumbusha uko sawa kabisa.

Matata K.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…