Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji35][emoji34][emoji49][emoji83][emoji84]
Mganga ulitapeliwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mganga ulitapeliwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kipindi hicho sikuwa na schema ya hicho kipimo cha mimba kabisa.Sasa why hukutumia kipimo cha mimba tu kinauzwa bukuu
Pole sana....Alafu tabia ya baadhi ya wadada kwenda kwenye date na marafiki bila kupeana taarifa sijui itakoma lini maana ni kuongezeana gharama zisizo na msingi.Tukio kama hili lilishanitokea 2011 kuna demu Fulani nilimtokea tukapanga tuonane dah sitasahau nimejikoki mfukoni Nina 25000 demu kaja na rafiki zake wawili aseee walipiga kitmoto na vinywaji bili ilisoma 58000 kilichoniokoa ni sehemu wananijua niwawaidi wanipe siku3 ntaleta ilopelea kibaya zaidi ata demu mwenyew sikuwahi baatika kumgonga
Taratibu mkuu usije tuma matunguli huku[emoji35][emoji34][emoji49][emoji83][emoji84]
Taratibu mkuu usije tuma matunguli huku
[emoji23][emoji23]mshana hakuna ktu unafanya ambacho hakihusian na uganga yaan mambo yako ni uganga na ulozi tupu [emoji23][emoji23][emoji23]Sikuwa na uwezo wa kuvipata ila kuna mtu akaniambia atavipata kwa shilingi elfu 30 tasilimu... Wakati huo hiyo pesa ilikuwa kubwa sana
Nikampelekea demu akampelekea babaake naye akapeleka kwa mganga akaaguliwa akapona nikapewa papuchi
Siku moja yule aliyeniuzia akaropoka kuwa yai lilikuwa la kanga na mafuta yalikuwa ya kondoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa bro nayo kali japo haiipiti ile ya kugegeda mochwari na ile yule manz alijifanya mwamba wa kula na kunywa vya watu eti kuna siku ulimuwekea joka feki akazimia kuja kushtuka anapigwa penalty ya tatu
11,800'000? U gotta be kiding men. Labda ticket ya kwenda Kuzumu.USD 5,150 approximately.
Tunaoliwa bure tucomment wapi?
11,800'000? U gotta be kiding men. Labda ticket ya kwenda Kuzumu.
Hata Mimi nilijiuliza sana sema ndio hivo nikaona acha nifunike kombe tu11,800'000? U gotta be kiding men. Labda ticket ya kwenda Kuzumu.
One night stand huwa haipangwi we Mnyamwezi mwenzangu!!It was one night stand...
One night stand huwa haipangwi we Mnyamwezi mwenzangu!!
Sasa we ume apply mpaka visa na kufanya booking ya ndege,hotel,etc...!!!
11,800'000? U gotta be kiding men. Labda ticket ya kwenda Kuzumu.
Nadhani unaweza kuwa my very perfect combo....Mimi ni yule niliyoletwa na upepo wa kisulisuli kwa ajili yako😍😍😋😋The cost I incurred in my Love Affairs have a special budget cause Mahaba is my first priority in this rendervous world.
Ever Smiling Kasie.
Umenichekesha sana asubuhi yote hii. We kiboko mgegedo mpaka unaukatia visa?!!Mwaadeela gawizaa bhaa Ngoshaa iiiggghhh, ulihooo..!!??? aahahahahahaaa
Basi ilikuwa one month stand aahahahahhaahahhaa maana baada ya tukio kuisha kila mtu akaendelea na ustaarabu wake, hakuna kuulizana wala kujuliana hali wala kutafutana eehehehehehee
Matata K.
Mweeeeeh!![emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] Aibu nimeona mimi.