Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264


Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Inakuaga

Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa hapa nchini, kati ya wauzaji 10 wauzaji tisa huuza kushabu. huyo mmoja aliebaki hadi kumpata ni mpaka connection, nadra sana kumpata kiukweli, ubora huwa ni wa juu na bei huwa zimechangamka, mzigo kidogo tu lakini unapata guarantee, starehe gharama.

Wengi wakivuta siku ya kwanza watalia ni vipofu kumbe wamesahau kuwasha taa, hukimbia mawingu, hubeba toroli badala ya kusukuma, hutukana ovyo ovyo, n.k. hii ndio gharama ya kuigiza uchafu kichwani

Ukizoea sana kushabu tayari wewe kichwa panzi, unaweza kuwa kichaa kabisa

Wanaokula kushabu ni masikini wanaoshindwa kupata grade one aidha hawana pesa au hawana maarifa ya kujua viwango wao wanavuta ilimradi iwe bangi tu.

Usije kujidanganya kwamba bangi unayovuta hapa kwetu ni sawa ya wanayovuta huko Marekani, Jamaica, n.k. huko watu wanavuta bangi na sio uchafu ndio maana huji kusikia mtu kawehuka, sijui akili zimemtoka, ana ropoka ropoka, n.k. Kazi ipo huku ambako hata wakulima wa bangi kwenye uvunaji hawajui mbinu za kuvuna vizuri wao wanakurupuka tu, nae muuzaji anaenunua kwa wakulima hata hana elimu ya huu mmea yeye anauza tu ilimradi apate pesa, nao wanunuzi ndio wahanga wakubwa hawajui hata kama wanauziwa kushabu matokeo yake ndio haya mnayoyaona mtu akivuta bangi siku ya kwanza ha tofauti na mwehu, nadhani hata kina afande sele wanavuta kushabu wakijinadi kwamba wanavuta yenyewe matokeo yake ndio kuvua nguo kwenye steji na vituko vingine kibao ambavyo huwezi kuja kuvisikia huko nchi ambazo hawavuti kushabu.
 
Hivi kwanini mademu sikuhizi wanapenda Sana Bangi?

Isije ikawa ndo zinafanya wanacheza na chupa kwenye ikulu zao[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 

Hivi Arusha haipo Tanzania? Ipo Jamaica?
 
Umeongea kweli tupu na hiyo ndo sababu iliyonifanya niache bange Sasa mbona hujatoa connection hiyo grade one twaipata vipii...???
 
Raha ya Uzi isindikizwe na pichaView attachment 2068793

Kwa wale wataalam wa CBD hiyo hapo mnayovuta nyie vilaza ni uchafu ndio maana mnaehuka na vile mnakuwa na njaa mnakuwa vichaa!!! Mtaalam anasema ukipata high grade GANJA unastarehe ukilipuliza! Hiyo ndiyo GANJA wanayovuta wakina Elon Musk, Snoopy, Willie Nelson, Mike Tyson etc.
 
Mkuu hiyo grade one ni Kali balaa Kuna kipindi nilikuwa nakaa masaki nikaenda kwa pusha alinipa bange moja tu aroo iliingia hadi kwenye mifupa wakati huku uswazi naweza vuta hata vijiti saba (koshabu) lakini ile moja tu sikutaka ingine nikatimua mbio..[emoji125][emoji125] Sasa unajua Kule masaki wanawauzia wazungu, mzungu ukimpa makapi anaweza akakuzaba makofi.
 

Wenzenu walioendelea hawavuti kwenye misokoto ya magazeti ; hiyo bangi huvutwa kwenye pipe inayochuja uchafu wote kwahiyo unapata moshi mtupu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…