Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Naomba connection ya grade one, maana dah hizi takataka tunazovuta nina kesi ya kutongoza mama mkwe
 
Na lile analovuta shemeji Rick Ross la grade One? Mbona simwelewi
 
Sawa lakini ikiwa genuine hata ukitumia karatasi uta enjoy tuu Kama unazungumzia Kiko ni kwa ajili ya kuweka kiasi kingi kuepuka usumbufu wa kunyonga Mara kwa mara na kumbuka kunyonga kunataka utalaam binafsi licha ya kuwa mvutaji kunyonga sijui.
Kumbe tuko wengi. Ila nasikia kuna machine ya kuroll.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa ili kudhibiti ubora serikali siingeipitisha tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mashadada Na Mawididi - by Tontofyo
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna jambo pengine hulifahamu au umesahau. Bangi yetu hapa ni biashara inayolipa mnoo, nyingi inayotumika hapa ni makapi kama ulivyosema baada ya kuigrade. Bangi kwa upande wa Kaskazini soko lake lipo Kenya Nairobi na upande wa Kusini Nyandani liko Zambia na Malawi. Mzigo wote unasafirishwa kwenda Ulaya
 
[emoji3][emoji3] otesha mjani nyumbani kwako hata miche sita !! Unachuma majani yako mwenyewe kwa kuyakadiria kabla hayajakua sana [emoji3] unakula mjani safi bila bugudha !! Tatizo huku kwetu bongo tunakula mjani kwa sifa na kutaka kujisahaulisha matatizo !!
 
Kuna wakati nipo mbeya niliotesha mjani ulichipua balaa, bi mkubwa akauona akauliza hiki ninii??? Nikajibu sijuii kesho yake sikuuona sijui alijua akaun'goa...!!!
 
Kuna

Mkuu kuna Bangi ukivuta stiki moja tuu unapata stata swafii[emoji16] hizo za kuvuta sana utaishia kuchoka mwili na hata njaa na kuumwa na kichwa
Bangi ikikuumiza kichwa hiyo ni dalili mbaya kwako, achana nayo!

Ganja kama Ganja yenyewe ni pain killer!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…