Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Naomba connection ya grade one, maana dah hizi takataka tunazovuta nina kesi ya kutongoza mama mkwe
KamsererekoKwa nyakati hizi unadhani kutakuwa na shida
Wewe umeacha, unataka connection ya nini?Umeongea kweli tupu na hiyo ndo sababu iliyonifanya niache bange Sasa mbona hujatoa connection hiyo grade one twaipata vipii...???
Wewe unategemea nini wakati ameandika baada ya kulipuliza.Hakuna mtu anaye grade bangi
[emoji116]
wachumaji ndiyo
Huzi grade wanapozichuma...
HUONI KWAMBA UMEJICHANGANYA MWENYEWE..??
Kumbe tuko wengi. Ila nasikia kuna machine ya kuroll.Sawa lakini ikiwa genuine hata ukitumia karatasi uta enjoy tuu Kama unazungumzia Kiko ni kwa ajili ya kuweka kiasi kingi kuepuka usumbufu wa kunyonga Mara kwa mara na kumbuka kunyonga kunataka utalaam binafsi licha ya kuwa mvutaji kunyonga sijui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juzi nilikuwa namtafuta jamaa yangu mmoja hivi alikuwa amefikia lodge....katika kupitapita kwenye room za lodge nikasikia harufu ya bangi ikabidi nisogee nijue yaliyomo..ile kuchungulia tu nikacheki madada kama watano hivi wametandika godoro chini halafu wanavuta bangi..chumba kimejaa moshi balaa[emoji16][emoji16]....kwa hali hii mwanamke hata angeingiziwa chupa yeye anaona yote sawa tu.
Sasa ili kudhibiti ubora serikali siingeipitisha tuu[emoji23][emoji23][emoji23]Uvutaji wa bangi ni kosa linalokupeleka jela lakini nawaonea huruma watu wanaojiongezea matatizo kwa kuvuta uchafu
Binafsi nimeshashuhudia baadhi ya watu ninaowajua walioanza kuvuta bangi, kwa sasa baadhi yao madishi hayajakaa sawa, kisakolojia hawapo vizuri, wengine maisha yao yamekuwa magumu sana, wengine walikuwa wanafanya vizzuri darasani ila baada ya kuvuta mambo yakawa mabaya, n.k.
Uhalisia ni kwamba kuvuta bangi hapa nchini ni heri utafute starehe nyingine tu, watu wanapata mihemko ya kuanza ama kujaribu kuvuta bangi wakidhani wanavuta bangi lakini kitu wanauziwa mbuzi kwenye gunia tena mbaya zaidi hata hawajui wameuziwa mbuzi, wao watatumia bidhaa wakizani ni orijino.
Ni nadra sana, narudia tena,,,ni nadra sana kukuta sehemu hapa nchini wanauza bangi, sehemu nyingi sana utaikuta bangi ya jero ambayo ni kiwango cha chini sana hakina utofauti na makapi.
Madhara ya kuvuta hizi bangi kwa mara ya kwanza ni kwamba akili yako itabinuliwa, kwa hapa nchini ni kawaida sana kusikia fulani siku ya kwanza aliyovuta bangi alikuwa anakimbia mawingu, kuona nyau kama simba, kucheka kama kichaa, n.k ushahidi wa hizi simulizi ni nyingi sana na ushahidi tosha hapa kwetu watu huvuta uchafu. na sio kilevi.
Mtu anawza kuvuta hata mara 3 akakwambia hahisi kitu hapo ujue kauziwa uchafu unaoenda kupindua akili.
SIFA ZA BANGI KAMILI NI HIZI, NJE YA HAPO TAFUTA STAREHE NYINGINE AMA JICHANGE NAULI UENDE KUVUTA NJE.
Rangi - rangi yake huwa ina ukijani flani ulioiva ukiona bangi ni tofati na hapo hasa ikiwa imefifia sana au kugeuka kuwa brown achana nayo.
Iwe imevunwa na kutumika ndani ya mwezi - Baada ya kuivuna inabidi itumike ndani ya mwezi, Wengi huwa wanauziwa ambazo zilivunwa miezi hata mitatu iliyopita
Harufu - Kuna harufu ya kuijua bangi inayofaa kwa matumizi na ile ambayo haifai aidha ni mbichi, imekomaa kupita kiasi, imevunwa miezi mingi iliyopita n.k. kama huwezi kujua hizi harufu tafuta starehe nyinine.
Mnato - Bangi inayofaa kwa matumizi huwa ina nata nata, isiyofaa hainati
Ukavu - Bangi ikiwa kavu sana hio sio nzuri kwa matumizi tupa kule.
Kusagika - Bangi ambayo haifai huwa mekauka sana, ukiiminya kidogo tu inavunjika vunjika haraka kama nyasi kavu na inasagika kwa urahisi,
Mbegu + vijiti - Ukiona bangi ina vimbegu na vijiti vingi piga chini
Nikijua inapopatikana nzuri narudi kundini....!!!Wewe umeacha, unataka connection ya nini?
Kuna wakati nipo mbeya niliotesha mjani ulichipua balaa, bi mkubwa akauona akauliza hiki ninii??? Nikajibu sijuii kesho yake sikuuona sijui alijua akaun'goa...!!![emoji3][emoji3] otesha mjani nyumbani kwako hata miche sita !! Unachuma majani yako mwenyewe kwa kuyakadiria kabla hayajakua sana [emoji3] unakula mjani safi bila bugudha !! Tatizo huku kwetu bongo tunakula mjani kwa sifa na kutaka kujisahaulisha matatizo !!
Bangi ikikuumiza kichwa hiyo ni dalili mbaya kwako, achana nayo!Kuna
Mkuu kuna Bangi ukivuta stiki moja tuu unapata stata swafii[emoji16] hizo za kuvuta sana utaishia kuchoka mwili na hata njaa na kuumwa na kichwa
Hahahahahaaaa makavu liveAcha unafiki mtoto wa kiume.
Mods wenyewe baadhi wanavuta.
Unajifanya mlokole unafikiri ndio utaenda mbinguni.
Kawaida tu kwani polisi sio binadamuMapolisi wenyewe wakiwa chimbo wanamoka[emoji28]
Ma ndewa hao“wanaongelea ganja na hawajui hata ku-roll..."
R.I.P Langa