Kibabage amegoma kubadilika, mbadala wake huyu anatufaa sana aletwe..

Kibabage amegoma kubadilika, mbadala wake huyu anatufaa sana aletwe..

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen..
Huyu bwana mdogo mwanzo tulikuwa na matarajio naye makubwa sana

Lakini siku zinavyozidi kwenda kibabage amegoma kuwa modern full back ..

Yaani anacheza hovyo sana sana, kwanzia mechi mbili zilizopita amegoma kubadilika.

Yaani akifika kwenye box tu ndiyo utaona ujinga wake kwanza anapiga mpira kaangalia chini, analenga kwenye miguu ya watu!
Halafu anapaparika sana kama amepagawa.

Sikuhizi hata kukaba pia nako anachelewa sana

Nashauri acheze winga kama alipokuwa huko Morocco na kule singida.

Sielewi kwanini David bryson aliuzwa
Huyu alikuwa beki anayetufaa kabisa, ana uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka sana yupo pale jkt kwanini asirudishwe tu kwa dau la kitanzania la kawaida?

Halafu kuna huyu Boka amekuwa akishinda hospital zaidi kuliko uwanjani, tulimuacha lomalisa sababu tuliambiwa kuwa hakutaka kusaini mwanzo ila mwishoni akabadilika na kutaka kusaini ila uongozi ukawa umeshamfungia milango!

Lakini huyu jamaa alikuwa ni mbavu ya kushoto ya viwango vikubwa sana licha ya umri wake, hawa Boka na kibabage wote hawafiki hata nusu ya lomalisa!

Wabadilike ama mabadiliko yatawabadilikia! Kibabage anashindwa nini kuangalia video clip za lomalisa ajifunze? Aangalie ile match ya yanga na club africain kule Tunisia aone jinsi beki ya kushoto inavyochezwa na mzee mzima Joyce mutambala lomalisa.

Kama huyu boka anatabirika kirahisi sana unajua tu huyu anataka kupiga Cross basi wanamuwahi miguuni kwa tackling.

Wabadilike hao wawili
 
Kibaya Zaidi ni Andunje.!

Sasa akikutana straika refu kuliko goli itakuwaje?
Hii nayo point pia
Kama huwa unafuatilia sana kibabage huwa anazidiwa kwenye mwili

Watu huwa wanatake advantage hiyo kumzidi hapo mfano angalia jana tu match ile walikuwa wanampiga sana push wale warefu

Ndiyo maana nawaambia abadilishwe namba akacheza winga kule kama alipokuwa singida
 
Winga Hana akili ya kucheza kama winga, kwakweli Mutambala ndo beki ya kushoto Bora kuliko boka mbuni Wala mbilikimo kibabage. Au kama tunaweza tumsajuli zimbwe junior.

Azizi k, yao, Pacome kiwango kimeshula sababu ya ulevi na Kupiga Nyau(pussy) za wadada, Sasa mdada kama careen Simba, Nai wale ni Malaya wanajiuza
 
Winga Hana akili ya kucheza kama winga, kwakweli Mutambala ndo beki ya kushoto Bora kuliko boka mbuni Wala mbilikimo kibabage. Au kama tunaweza tumsajuli zimbwe junior.

Azizi k, yao, Pacome kiwango kimeshula sababu ya ulevi na Kupiga Nyau(pussy) za wadada, Sasa mdada kama careen Simba, Nai wale ni Malaya wanajiuza
Niwe mkweli tu
Kwa wazawa hakuna beki ya kushoto kama shabalala , hakuna! Shida ipo kwenye kumpata yeye ni simba na simba ni yeye.

Ila.sijui hawa kina pacome huwa hawaambiwi ukweli kuvamia yale madude kina cares sijui si wauzaji hao?
Halafu mpaka yao naye wamemfundisha?

No wonder jamaa sikuhizi majeruhi yamekuwa mengi sana huyu Yao yaani yule wa msimu jana na huyu wa leo kuna utofauti
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Moderators pigeni ban huyu kenge
 
Kuna Yule Pascal MSINDO Wa Azam, Vp Yule jamaa si Anatufaa Yanga !??

kuhusu Usajili Viongozi wa Yanga Wakubali From Genesis Walizingua... Unamuachaje MTU kama Lomalisa !? Unaingiaje Kwenye Mashindano Ukiwa na Beki wa Kati Watatu tu !? Kuna Kadi, injuries, Uchovu Yote Hayo Hawakuyajua !?? Kwanini Walimuacha Gift Fred !? Haya Basi Wangesajili hata Beki Mzawa. Hope Wamejifunza Na Dirisha Hili Dogo Wataleta Watu.
 
Kuna Yule Pascal MSINDO Wa Azam, Vp Yule jamaa si Anatufaa Yanga !??

kuhusu Usajili Viongozi wa Yanga Wakubali From Genesis Walizingua... Unamuachaje MTU kama Lomalisa !? Unaingiaje Kwenye Mashindano Ukiwa na Beki wa Kati Watatu tu !? Kuna Kadi, injuries, Uchovu Yote Hayo Hawakuyajua !?? Kwanini Walimuacha Gift Fred !? Haya Basi Wangesajili hata Beki Mzawa. Hope Wamejifunza Na Dirisha Hili Dogo Wataleta Watu.
Aziz Andambwile ni beki wa kati nadhani ndio replacement ya Gift Fred kwa Lomalisa walikosea sana japo Boka sio mbaya shida ni majeruhi
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.umeandika maniini sasaa,maana vyotee hivyo vinaingia hapo kwa Nyerere 3.eg.Ajira =umaskini

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Mods munamfuga mno huyu mtu au munataka tuanze kumtukana matusi ya nguoni ili mutulime ban?
 
Aziz Andambwile ni beki wa kati nadhani ndio replacement ya Gift Fred kwa Lomalisa walikosea sana japo Boka sio mbaya shida ni majeruhi
Tuache mzaha andambwile hawezi hiyo position
Match ile yanga day qlicheza mliona madudu yake?
Gift hakutakiwa kuachwa ile ilikuwa spear kulia na kati anacheza

Andambwile mwenyewe ndiyo kama hivi majeraha mengi
 
Sema David Bryson aliutumia muda wake mwingi akiwa majeruhi wakati anaichezea Yanga. Ila tangu amejiunga na JKT, hakika amekuwa ni beki bora wa kushoto ukimlinganisha na Kibabage.

Na kiukweli Yanga inahitaji kufanya maboresho sahihi kwenye kikosi chake kwenye dirisha dogo la Januari. Walinzi wawili wa kushoto na kulia, mlinzi mmoja wa kati, kiungo mkabaji mmoja na mshambuliaji wa kati mmoja. Maeneo mengine sioni kama yana shida sana.
 
Kuna Yule Pascal MSINDO Wa Azam, Vp Yule jamaa si Anatufaa Yanga !??

kuhusu Usajili Viongozi wa Yanga Wakubali From Genesis Walizingua... Unamuachaje MTU kama Lomalisa !? Unaingiaje Kwenye Mashindano Ukiwa na Beki wa Kati Watatu tu !? Kuna Kadi, injuries, Uchovu Yote Hayo Hawakuyajua !?? Kwanini Walimuacha Gift Fred !? Haya Basi Wangesajili hata Beki Mzawa. Hope Wamejifunza Na Dirisha Hili Dogo Wataleta Watu.
Hiyo ni properly replacement.
Shida ipo kumpata sasa tutampataje?
Kama unavyojua azam wapo tayari aende simba ila sio yanga

Yaani kama Dube tu walivyotusumbua vile sembuse huyo kijana msindo?
Watatupiga hela sana ndefu azam ila tukimpata msindo kazj imeisha hapo
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Katika hao maadui watatu wewe automatically unaangukia kwenye ujinga.

Kuleta siasa kwenye jukwaa la michezo inakushusha vyeo.

Shida hazijawahi kufanya maisha mengine yasiendelee. Watawala watakapotuvusha kwenye kikomo cha mwisho wa uvumilivu sio Mbowe, sio Lissu, sio Zitto atakayewashawishi tuingie.
 
Sema David Bryson aliutumia muda wake mwingi akiwa majeruhi wakati anaichezea Yanga. Ila tangu amejiunga na JKT, hakika amekuwa ni beki bora wa kushoto ukimlinganisha na Kibabage.

Na kiukweli Yanga inahitaji kufanya maboresho sahihi kwenye kikosi chake kwenye dirisha dogo la Januari. Walinzi wawili wa kushoto na kulia, mlinzi mmoja wa kati, kiungo mkabaji mmoja na mshambuliaji wa kati mmoja. Maeneo mengine sioni kama yana shida sana.
Ndiyo ukweli wenyewe chief
Hii inanipa maswali sana huwa wanapogana misumari au namna gani?
Bryson alikuwa akipona anapata pancha tena!

Beki wa kati mmoja asilia kabisa Aletwe sasa wenyewe wanaforce andambwile acheze beki ya kati na mwenyewe majeraha mengi.

Hatutakj mambo kama ya jana mwishoni job anatoka halafu Duke anaenda kucheza na Bakari kati nooo!

Na hiyo ndiyo sababu tukapoteza mchezo na tabora sababu ya kukosa replacement halisi ya hizo nafasi ulizotaja,

Naskia viongozi wanataka kumalizana na yule winga mkongo kashatua dar

Sasa ndiyo yale yale wanaleta winga tena.
 
Back
Top Bottom