uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kama ambavyo ilivyo kwa mzee mzjma "Debora" Fernández
A white Man mistakes doesn’t validate a Black man mistake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ambavyo ilivyo kwa mzee mzjma "Debora" Fernández
Lomalisa baada ya mara ya kwanza kuzingua, badae akataka kubaki mkaleta zenu ohhh nafasi yako imezibwa...ngoja yawakute Utopwinyo.Aziz Andambwile kwanza amesajiliwa kimakosa. He is an average player. Hivyo hawezi kuisaidia Yanga kusonga mbele. Na huu ni ukweli mchungu kwake.
Bora hata ya Yusufu Kagoma alikuwa ni msaada kama asingekimbilia simba.
To much chumvi, uwezo wa Noriega vs Mkapa hautofatiani sana, Mkapa ni kweli alikuwa mfungaji ila Noriega alikuwa anapanda mbele kusaidia mashanbulizi....beki bora wa kushoto mpaka sasa kwangu alikuwa Alphonce Modest...Sijasema kuwa alikuwa anamfikia,nimesema kuwa no 3 upande wa pili alikuwa Twaha Hamidu,pia nimesema hapo nyuma kwa zaidi ya miaka 35 iliyopita hakuna no 3 nchini, aliekuwa bora kama Mkapa,Shabalala angeweza kumfikia ingawa Mkapa alichomzidi ni kuwa Mkapa alikuwa na nguvu na ubabe pia alikuwa mfungaji mzuri wa mashuti ya mbali na free kick,nakumbuka mwaka 1992 alipomtungua Mwameja goli kwa shuti la mita nyingi,kisha wiki iliyofuata akawafunga Ismailia kwa umbali uleule.
nadhani bado anahitajika guede kwa vyovyote vile na kwa vile SINGIDA BLACK STARS tuna mahusiano nao mazuri tutabadilishana nao JEAN OTHOS BALEKE kwa vile jamaa nana mchango wowote mpaka sasa. najua guede akija yanga atajiamini na kufanya makubwa na baleke akienda singida atajitafta na kujipata huko! Mungu wabariki na wafungue akili na ufahamu na neema au bahati ya kuliona na kulifanyia kazi. Mungu fanya wepesi eng. Hersi aone coment hii aminaKimsingi Joseph Guede alitakiwa kubaki ni basi tu siasa zetu hizi za soka jamaa angepewa muda kama wa dube angefunga zaidi imagine game zile sita tu magoli 9kama sikosei
Sawa kabisa...Sijasema kuwa alikuwa anamfikia,nimesema kuwa no 3 upande wa pili alikuwa Twaha Hamidu,pia nimesema hapo nyuma kwa zaidi ya miaka 35 iliyopita hakuna no 3 nchini, aliekuwa bora kama Mkapa,Shabalala angeweza kumfikia ingawa Mkapa alichomzidi ni kuwa Mkapa alikuwa na nguvu na ubabe pia alikuwa mfungaji mzuri wa mashuti ya mbali na free kick,nakumbuka mwaka 1992 alipomtungua Mwameja goli kwa shuti la mita nyingi,kisha wiki iliyofuata akawafunga Ismailia kwa umbali uleule.
Hata mimi sielewi kwa nini Guede aliachwa.nadhani bado anahitajika guede kwa vyovyote vile na kwa vile SINGIDA BLACK STARS tuna mahusian o nao mazuri tutabadilishana nao JEAN OTHOS BALEKE kwa vile jamaa nana mchango wowote mpaka sasa. najua guede akija yanga atajiamini na kufanya makubwa na baleke akienda singida atajitafta na kujipata huko! Mungu wabariki na wafungue akili na ufahamu na neema au bahati ya kuliona na kulifanyia kazi. Mungu fanya wepesi eng. Hersi aone coment hii amina
Hao hakuna kitu,mwasika ndiyo alikua full back hasa, kazi kaziHukumshuhudia Oscar Joshua na Mwinyi Hajji