Kibabage amegoma kubadilika, mbadala wake huyu anatufaa sana aletwe..

Kibabage amegoma kubadilika, mbadala wake huyu anatufaa sana aletwe..

I salute you kinsmen..
Huyu bwana mdogo mwanzo tulikuwa na matarajio naye makubwa sana

Lakini siku zinavyozidi kwenda kibabage amegoma kuwa modern full back ..

Yaani anacheza hovyo sana sana, kwanzia mechi mbili zilizopita amegoma kubadilika.

Yaani akifika kwenye box tu ndiyo utaona ujinga wake kwanza anapiga mpira kaangalia chini, analenga kwenye miguu ya watu!
Halafu anapaparika sana kama amepagawa.

Sikuhizi hata kukaba pia nako anachelewa sana

Nashauri acheze winga kama alipokuwa huko Morocco na kule singida.

Sielewi kwanini David bryson aliuzwa
Huyu alikuwa beki anayetufaa kabisa, ana uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka sana yupo pale jkt kwanini asirudishwe tu kwa dau la kitanzania la kawaida?

Halafu kuna huyu Boka amekuwa akishinda hospital zaidi kuliko uwanjani, tulimuacha lomalisa sababu tuliambiwa kuwa hakutaka kusaini mwanzo ila mwishoni akabadilika na kutaka kusaini ila uongozi ukawa umeshamfungia milango!

Lakini huyu jamaa alikuwa ni mbavu ya kushoto ya viwango vikubwa sana licha ya umri wake, hawa Boka na kibabage wote hawafiki hata nusu ya lomalisa!

Wabadilike ama mabadiliko yatawabadilikia! Kibabage anashindwa nini kuangalia video clip za lomalisa ajifunze? Aangalie ile match ya yanga na club africain kule Tunisia aone jinsi beki ya kushoto inavyochezwa na mzee mzima Joyce mutambala lomalisa.

Kama huyu boka anatabirika kirahisi sana unajua tu huyu anataka kupiga Cross basi wanamuwahi miguuni kwa tackling.

Wabadilike hao wawili


Kibabage katika wachezaji karibu wote wa Yanga ndio hamna kitu kabisa, hana kabisa uwezo, pilika nyingi za bure na hana uwezo wa kufunga au kupiga shoot, alafu alivyo hana uwezo zaidi ya hapo alipofikia, Yanga ingeagana nae mapema kabisa
 
Jamani tutamlaumu kibabage bure, ila ukweli uko hapa, kikosi kinahitaji maboresho yafuatayo,beki wa kati mmoja wa kimataifa, left na right full backs wa ndani wenye uwezo, DM mmoja katiri wa ndani,ikishindikana kupatikana basi JONASI JERAD MKUDE,SURE BOY wapewe muda wacheze ili hata aucho hayupo basi awepo DM "Halisia" wa kuziba pengo hilo, forwadi mmoja wa kimataifa mwenye njaa,mfano fred michael coubran,christian lionel ateba mbida,mayele,nk. wachezaji wa kuwaweka pembeni kupisha usajili huo ni
1. jean othos baleke~aondoke jumla.
2. nickson clement kibabage ~mkopo
3.kibwana shomari~jumla
4. aziz andambwile mkopo
5. prince mpumelelo dube~jumla japo haiwezekani maana kumvunjia mkataba ndo changamoto.
 
I salute you kinsmen..
Huyu bwana mdogo mwanzo tulikuwa na matarajio naye makubwa sana

Lakini siku zinavyozidi kwenda kibabage amegoma kuwa modern full back ..

Yaani anacheza hovyo sana sana, kwanzia mechi mbili zilizopita amegoma kubadilika.

Yaani akifika kwenye box tu ndiyo utaona ujinga wake kwanza anapiga mpira kaangalia chini, analenga kwenye miguu ya watu!
Halafu anapaparika sana kama amepagawa.

Sikuhizi hata kukaba pia nako anachelewa sana

Nashauri acheze winga kama alipokuwa huko Morocco na kule singida.

Sielewi kwanini David bryson aliuzwa
Huyu alikuwa beki anayetufaa kabisa, ana uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka sana yupo pale jkt kwanini asirudishwe tu kwa dau la kitanzania la kawaida?

Halafu kuna huyu Boka amekuwa akishinda hospital zaidi kuliko uwanjani, tulimuacha lomalisa sababu tuliambiwa kuwa hakutaka kusaini mwanzo ila mwishoni akabadilika na kutaka kusaini ila uongozi ukawa umeshamfungia milango!

Lakini huyu jamaa alikuwa ni mbavu ya kushoto ya viwango vikubwa sana licha ya umri wake, hawa Boka na kibabage wote hawafiki hata nusu ya lomalisa!

Wabadilike ama mabadiliko yatawabadilikia! Kibabage anashindwa nini kuangalia video clip za lomalisa ajifunze? Aangalie ile match ya yanga na club africain kule Tunisia aone jinsi beki ya kushoto inavyochezwa na mzee mzima Joyce mutambala lomalisa.

Kama huyu boka anatabirika kirahisi sana unajua tu huyu anataka kupiga Cross basi wanamuwahi miguuni kwa tackling.

Wabadilike hao wawili
Bryson nmemfuatilia, kuna haja ya kumrudisha!
 
Hukumshuhudia Oscar Joshua na Mwinyi Hajji
Acha utani mkuu,yaani amshuhudie Keneth Mkapa halafu awe hajawaona Haji Mwinyi na Oscer Joshua?Kifupi jamaa yupo sahihi,Yanga haina bahati ya kuwa na no 3 bora tangu aondoke Kenny Mkapa,ingawa walipita Alphonce Modest,Ramadhan Waso,Nurdin Bakari,Amir Maftah ambao walionesha ubora lakini hawakumfikia,pia wote hao nao walikuwa ni zao la Simba
 
Sijui Rais wetu alidnganywa na nani?

Kagoma kiungo kweli tuache utani kabisa alishaonesha ubora wake tangu kule singida sasa ni fountain Gate.

Huyu andambwile tulidanganywa anazima na beki ya kati ni average player kwa kweli aachwe afadhali hata yule jamaa wa singida somebody kitu kama habit gego kiungo kweli kweli
Andambwile hana kiwango cha kucheza Yanga, tokea alivyokuwa Azam alikuwa injury prone na kiwango kibovu, wakamtema, sijui raisi aliona nini kwake!
 
Kweli huyo Mkapa sikumshudia
Nimezaliwa 1993
Umezaliwa katika miaka ya utawala wa Kenny Mkapa no 3 huku beki wa kulia akicheza Frederick Mwakalebela pale Yanga. Katika miaka 35 iliyopita ni Mohammed Hussein tu ndiye amecheza kwa kiwango bora na kwa muda mrefu kama Kenny Mkapa kwa mabeki wa kushoto hapa nchini.
 
Jamani tutamlaumu kibabage bure, ila ukweli uko hapa, kikosi kinahitaji maboresho yafuatayo,beki wa kati mmoja wa kimataifa, left na right full backs wa ndani wenye uwezo, DM mmoja katiri wa ndani,ikishindikana kupatikana basi JONASI JERAD MKUDE,SURE BOY wapewe muda wacheze ili hata aucho hayupo basi awepo DM "Halisia" wa kuziba pengo hilo, forwadi mmoja wa kimataifa mwenye njaa,mfano fred michael coubran,christian lionel ateba mbida,mayele,nk. wachezaji wa kuwaweka pembeni kupisha usajili huo ni
1. jean othos baleke~aondoke jumla.
2. nickson clement kibabage ~mkopo
3.kibwana shomari~jumla
4. aziz andambwile mkopo
5. prince mpumelelo dube~jumla japo haiwezekani maana kumvunjia mkataba ndo changamoto.
Hivi Dube ana nini huyu jamaa. Mimi nilitilia mashaka sana rekodi yake ya ufungaji aliyotoka nayo Azam kwa misimu 3+.
 
Acha utani mkuu,yaani amshuhudie Keneth Mkapa halafu awe hajawaona Haji Mwinyi na Oscer Joshua?Kifupi jamaa yupo sahihi,Yanga haina bahati ya kuwa na no 3 bora tangu aondoke Kenny Mkapa,ingawa walipita Alphonce Modest,Ramadhan Waso,Nurdin Bakari,Amir Maftah ambao walionesha ubora lakini hawakumfikia,pia wote hao nao walikuwa ni zao la Simba
Ken Mkapa alitanguliwa na mwarabu Ahmed Amasha, acha kabisa.
 
I salute you kinsmen..
Huyu bwana mdogo mwanzo tulikuwa na matarajio naye makubwa sana

Lakini siku zinavyozidi kwenda kibabage amegoma kuwa modern full back ..

Yaani anacheza hovyo sana sana, kwanzia mechi mbili zilizopita amegoma kubadilika.

Yaani akifika kwenye box tu ndiyo utaona ujinga wake kwanza anapiga mpira kaangalia chini, analenga kwenye miguu ya watu!
Halafu anapaparika sana kama amepagawa.

Sikuhizi hata kukaba pia nako anachelewa sana

Nashauri acheze winga kama alipokuwa huko Morocco na kule singida.

Sielewi kwanini David bryson aliuzwa
Huyu alikuwa beki anayetufaa kabisa, ana uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka sana yupo pale jkt kwanini asirudishwe tu kwa dau la kitanzania la kawaida?

Halafu kuna huyu Boka amekuwa akishinda hospital zaidi kuliko uwanjani, tulimuacha lomalisa sababu tuliambiwa kuwa hakutaka kusaini mwanzo ila mwishoni akabadilika na kutaka kusaini ila uongozi ukawa umeshamfungia milango!

Lakini huyu jamaa alikuwa ni mbavu ya kushoto ya viwango vikubwa sana licha ya umri wake, hawa Boka na kibabage wote hawafiki hata nusu ya lomalisa!

Wabadilike ama mabadiliko yatawabadilikia! Kibabage anashindwa nini kuangalia video clip za lomalisa ajifunze? Aangalie ile match ya yanga na club africain kule Tunisia aone jinsi beki ya kushoto inavyochezwa na mzee mzima Joyce mutambala lomalisa.

Kama huyu boka anatabirika kirahisi sana unajua tu huyu anataka kupiga Cross basi wanamuwahi miguuni kwa tackling.

Wabadilike hao wawili

Huyu unayemuita Mzee mzima, anaanzaje na jina "Joyce"
 
Kibabage katika wachezaji karibu wote wa Yanga ndio hamna kitu kabisa, hana kabisa uwezo, pilika nyingi za bure na hana uwezo wa kufunga au kupiga shoot, alafu alivyo hana uwezo zaidi ya hapo alipofikia, Yanga ingeagana nae mapema kabisa
Watu wanaweza wakaona kama.tunamsagia kunguni sana ila kiukweli abadilike haraka sana
 
Sahihi,counterpart wake(Amasha Miafro) upande wa Simba alikuwa Mohammed Kajole,wa Mkapa kule Simba alikuwa Twaha Hamidu "Noriega"
Twaha alikuwa hamfikii hata kidogo Ken Mkapa maana Mkapa alikuwa kapanda balaa, nakumbuka aliwahi piga Kona mpaka ndani Simba 0-1 Yanga.
 
Jamani tutamlaumu kibabage bure, ila ukweli uko hapa, kikosi kinahitaji maboresho yafuatayo,beki wa kati mmoja wa kimataifa, left na right full backs wa ndani wenye uwezo, DM mmoja katiri wa ndani,ikishindikana kupatikana basi JONASI JERAD MKUDE,SURE BOY wapewe muda wacheze ili hata aucho hayupo basi awepo DM "Halisia" wa kuziba pengo hilo, forwadi mmoja wa kimataifa mwenye njaa,mfano fred michael coubran,christian lionel ateba mbida,mayele,nk. wachezaji wa kuwaweka pembeni kupisha usajili huo ni
1. jean othos baleke~aondoke jumla.
2. nickson clement kibabage ~mkopo
3.kibwana shomari~jumla
4. aziz andambwile mkopo
5. prince mpumelelo dube~jumla japo haiwezekani maana kumvunjia mkataba ndo changamoto.
Kimsingi Joseph Guede alitakiwa kubaki ni basi tu siasa zetu hizi za soka jamaa angepewa muda kama wa dube angefunga zaidi imagine game zile sita tu magoli 9kama sikosei
 
Twaha alikuwa hamfikii hata kidogo Ken Mkapa maana Mkapa alikuwa kapanda balaa, nakumbuka aliwahi piga Kona mpaka ndani Simba 0-1 Yanga.
Sijasema kuwa alikuwa anamfikia,nimesema kuwa no 3 upande wa pili alikuwa Twaha Hamidu,pia nimesema hapo nyuma kwa zaidi ya miaka 35 iliyopita hakuna no 3 nchini, aliekuwa bora kama Mkapa,Shabalala angeweza kumfikia ingawa Mkapa alichomzidi ni kuwa Mkapa alikuwa na nguvu na ubabe pia alikuwa mfungaji mzuri wa mashuti ya mbali na free kick,nakumbuka mwaka 1992 alipomtungua Mwameja goli kwa shuti la mita nyingi,kisha wiki iliyofuata akawafunga Ismailia kwa umbali uleule.
 
Back
Top Bottom