Truepole๐๐Jiwe kawaandaa wtz waishi kiuadui sana. Ukiona hivo ujue hawakumchagua.
pole sana Dia wangu ๐I'm in tears,
So sad.
Waliofanya tukio wakamatwe mara moja.
Sure Mkuu, let's hope for the best!If Tanzanians are of this like, then we are doomed.
Let's hope it's otherwise.
Sad indeed.Daah So Sad. Inauma kuona huyo mama na INNOCENT SOULS wanateketea kwa mateso makali ya MOTO.
CCM ni chama hatari sana kwa Ustawi wa nchi.Kolimba alikuaga chama gani vile?
Just imagine over all Rais wa zamani wa burundi dikteta Ntibantunganya ndio alikua msimamizi wa โkimataifaโ wa uchaguzi 2020.Labda kura za maoni za CCM. Huku kwingine Ntibantunganya alisema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Daudi mbona unanikaba mkuu?๐๐Nani huyo ametufikisha hatua mbaya?
Pengine mkuuItakuwa alionesha nia ya kugombea umeya wa mji!
Hao waliochoma moto hapo unamjua kwani? Tuambie huyo mtu mmoja aliechoma moto hapo kwa uchoyo wake ni nani?Poleni wafiwa. Watanzania tumeingizwa kwenye tanuru la moto kwa uchoyo wa mtu mmoja.
Hao waliochoma moto hapo unamjua kwani? Tuambie huyo mtu mmoja aliechoma moto hapo kwa uchoyo wake ni nani?
Overt political climate is always safer than its opposite.
Na CCM/ MEKO/ NEC/ mapolisiSad. Watanzania tumefikishwa hapa!
Acha generalisations, uchoyo wa mtu mmoja unamjua then, utaisaidia polisi.Jiwe tu lilitupwa gizani. Kama limekupata, samahani sana. "The guilty are afraid".