Chanzo cha nini? Kama chanzo cha vifo ni motoChanzo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha nini? Kama chanzo cha vifo ni motoChanzo ni nini?
Ila mkuu,ndio nn umeandikaRaijun
Ya umeme au ?Chanzo cha nini? Kama chanzo cha vifo ni moto
Umeongea vizuri sanaNdugu zangu watanzania tuache kuuana, tulikuwa wamoja na tuendelee hivyo hivyo. Siasa zitapita. Tuvumiliane maana haya nayo yatapita.
Kummuua mwenzako siyo jibu la haya tunayoyaona. Mungu ndiye mwenye kulipiza kisasi.
Kwani umemfahamu aliyechoma moto?Ndugu zangu watanzania tuache kuuana, tulikuwa wamoja na tuendelee hivyo hivyo. Siasa zitapita. Tuvumiliane maana haya nayo yatapita.
Kummuua mwenzako siyo jibu la haya tunayoyaona. Mungu ndiye mwenye kulipiza kisasi.
Kwani habar inasema ameuawa? Ngoja polisi wafanye uchunguzi waoNdugu zangu watanzania tuache kuuana, tulikuwa wamoja na tuendelee hivyo hivyo. Siasa zitapita. Tuvumiliane maana haya nayo yatapita.
Kummuua mwenzako siyo jibu la haya tunayoyaona. Mungu ndiye mwenye kulipiza kisasi.
" wasiojulikana ". uwe unaelewa!Polisi wenyewe wanasema bado hawajui chanzo cha moto huo, bado wanafanya uchunguzi, wewe tayari unawalaani waliochoma nyumba moto!! Kumbe unawajua? Kwa nn usiwasaidie polisi kuwatambua wahalifu hao?
Hapa tunalaani mauaji bwashee!Anza kulaani uhuni uliofanywa dhidi ya upinzani kama kweli wewe ni mpenda haki1
Taarifa zimetolewa na nani?Natumai pia mmeshamaliza kulaani mauaji ya watu 13 yaliyofanywa na polisi huko Zenji