HakunaKwani nani aliyechaguliwa na chama kupeperusha bendera huko? Jukumu la katibu mkuu kufatilia zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakunaKwani nani aliyechaguliwa na chama kupeperusha bendera huko? Jukumu la katibu mkuu kufatilia zaidi
Mkurugenzi ana hamu na kipigoAliyekuwa meya wa ubungo Jacob Boniface amesema kuwa mwanachama wa CCM aitwaye Athuman Abdallah Sudi amechukua fomu za kugombea ubunge kwa mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo kwa jina la CHADEMA.
Jacob amesema hii ni mara ya pili Mkurugenzi huyo anaihujumu CHADEMA kwa kutumia barua fake.
Jacob ameripoti haya katika akaunti yake ya twitter.
Maendeleo hayana vyama!
Ndi mchezo wait was kijinga kwrli hata chama cha Act wamekihujumu hivyohivyo ,huyo mkurugenzi msimwache kama amezoea hata kurogwa arogwe ili ashike adabu.Aliyekuwa meya wa ubungo Jacob Boniface amesema kuwa mwanachama wa CCM aitwaye Athuman Abdallah Sudi amechukua fomu za kugombea ubunge kwa mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo kwa jina la CHADEMA.
Jacob amesema hii ni mara ya pili Mkurugenzi huyo anaihujumu CHADEMA kwa kutumia barua fake.
Jacob ameripoti haya katika akaunti yake ya twitter.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo huyo si mgombea wa CCM basi, inatakiwa aonyeshe aonyeshe barua ya kuthibitisha kutoka chama husika, kama alienda kuchukua kama mgombea wa CHADEMA basi atakua na barua.Bado!
aisee hiyo hatari Sana Apo inamaana kwamba anakua amepiga Pini na hakuna mwingine atakaepewa fomu ikiwa na maana chama kishatoa muwakilishi ambae ndio uyo magumashiChadema wamefanya kura za maoni kisha kamati kuu imefanya uamuzi wa nani agombee.
CHADEMA iondolewe kwenye list ya vyama vinavyogombea ubunge Jimbo la Kibamba kwa kupeleka wagombea wawili.Apo lengo linakua nini
Elewaneni kwenye chama chenu, kwanza huyo ni mwanachama wenu miliyemuengua kwenye kura za maoni, na yeye akaona isiwe tabu ngaoja awahi kuchukua fomu sasa hapo CCM inahusika wapi?Ndi mchezo wait was kijinga kwrli hata chama cha Act wamekihujumu hivyohivyo ,huyo mkurugenzi msimwache kama amezoea hata kurogwa arogwe ili ashike adabu.
Nilisema hapa Chadema haiwezi kusimamisha wagombea katika majimbo yote!Nilipoona Kibamba haina mgombea kwenye orodha ya kwanza nilitegemea jambo kama hili kutokea, CHADEMA msidhani CCM wanalala kwa ajili yenu, wako tayari kufanya lolote iwe mvua liwe jua.
Jina la mgombea wa kibamba halipo ndiposa Athuman Abdalla Sudi akajiongeza!Kwani majina yabuteuzi si yako TUME y auchaguzi?
Huyo alie chukua imekuwaje apewe?
Aliyekuwa meya wa ubungo Jacob Boniface amesema kuwa mwanachama wa CCM aitwaye Athuman Abdallah Sudi amechukua fomu za kugombea ubunge kwa mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo kwa jina la CHADEMA.
Jacob amesema hii ni mara ya pili Mkurugenzi huyo anaihujumu CHADEMA kwa kutumia barua fake.
Jacob ameripoti haya katika akaunti yake ya twitter.
Maendeleo hayana vyama!
Ili kuwasaidia viongoz wetu ukiona sehemu wamepwaya tunapaswa kujiongeza km jamaaJina la mgombea wa kibamba halipo ndiposa Athuman Abdalla Sudi akajiongeza!
Elewaneni kwenye chama chenu, kwanza huyo ni mwanachama wenu miliyemuengua kwenye kura za maoni, na yeye akaona isiwe tabu ngaoja awahi kuchukua fomu sasa hapo CCM inahusika wapi?
Kwani CHADEMA wamempitisha nani Kibamba? Nimeangalia Sijaona jina wanambwela mbwela tu ...
Nakuomba Sana , Sana Mheshimiwa Boniface Jacob chukua hatua za haraka Sana kudhibiti mchezo huo mchafu !!! Kinondoni Si mwingine Ni Boniface Jacob tu .Sasa huko twitter aliporipoti atapata msaada gani!
Lengo ni mgombea halisi asipate form then asigombeeApo lengo linakua nini
Inawezekana mara ya kwanza hamkuchukua hatua zozote kisheria ndio maana inajitokeza tena mara ya pili. Msiishie kwenye media tu, fuatilieni kisheria kama upo ushahidi wa kutosha.Aliyekuwa meya wa ubungo Jacob Boniface amesema kuwa mwanachama wa CCM aitwaye Athuman Abdallah Sudi amechukua fomu za kugombea ubunge kwa mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo kwa jina la CHADEMA.
Jacob amesema hii ni mara ya pili Mkurugenzi huyo anaihujumu CHADEMA kwa kutumia barua fake.
Jacob ameripoti haya katika akaunti yake ya twitter.
Maendeleo hayana vyama!
Huyo aliyechukua fomu ni Nani?Hawezi kufuatiliwa na vyombo vya sheria kwa kughushi?Nani anayeonekana kufaidika na aina hii ya hujuma?CHADEMA iondolewe kwenye list ya vyama vinavyogombea ubunge Jimbo la Kibamba kwa kupeleka wagombea wawili.
Kwa sababu yupo ambaye ni halali atakwenda na kukuta yupo aliyekwisha chukua.