Uchaguzi 2020 Kibamba: CHADEMA wadai Mwanachama wa CCM amechukua fomu ya kugombea Ubunge kwa jina lao

Uchaguzi 2020 Kibamba: CHADEMA wadai Mwanachama wa CCM amechukua fomu ya kugombea Ubunge kwa jina lao

Elewaneni kwenye chama chenu, kwanza huyo ni mwanachama wenu miliyemuengua kwenye kura za maoni, na yeye akaona isiwe tabu ngaoja awahi kuchukua fomu sasa hapo CCM inahusika wapi?
Suala ni kuwahi?Utaratibu unasema hivyo?Acheni kuhalalisha haramu na uzembe wa DED.Alishindwa nini kujiridhisha?Fomu zinatolewa kiholela holela hivyo?
 
Mtalia lia sana humu KIBAMBA ni kijani full stop. Hata kama sipendi Yanga.
 
Hahahaaaa.......CCM bado haijatangaza wagombea bwashee huyo ni wa hapo Ufipa angalia vizuri orodha namba 2!
Kwani amechukua kwa tiketi ya CCM au CHADEMA. Soma vizuri kabla ya kukimbilia kukomenti. Ishu hapa ni kuwa fomu imechukuliwa na wahuni kwa tiketi ya CHADEMA. fullstop.
 
Wakuu salaam.

Naomba msaada wa kinachoendelea kibamba.

Nani alipaswa kuchukua form na nani amechukua form na what is the way forward?

Jimbo lishaenda kwenye chama chakavu?
 
Mleta mada umeleta habari nusu nusu, funguka full tuelewe
 
Hapa Chadema wanajichanganya. Mchezo huu walifanyiwa kwa Boniface lakini inaelekea hawajajifunza.

Amandla...
 
Apatikane achapwe hadi anye kama yule wa arusha anayemsalimia mkapa saa hizi
Kamati kuu ya chadema ndio yenye mamlaka ya kumteuwa mgombea wa Jimbo
Swali huyu mgombea wa ccm aliyepewa fomu ccm mwaka huu kibamba itasimamisha wagombea 2?
 
Kibamba, Dar es Salaam
MAJIBIZANO MAKALI MSIMAMIZI WA UCHAGUZI NA MGOMBEA UBUNGE CHADEMA KIBAMBA/MSIMAMIZI AGOMA KUTOA FOMU



Maoni yangu:
Ofisi ya msimamizi wa uchaguzi hatoi ushirikiano ni kama kuna jambo limejificha, yaani Ofisi ya Msimamizi hajui jina, hawana picha, hawamjui kwa sura na malalamiko ya waliokuja kujitambulisha msimamizi kama mteule halali ofisi ya umma haitaki kutoa ushirikiano
 
Hapa Chadema wanajichanganya. Mchezo huu walifanyiwa kwa Boniface lakini inaelekea hawajajifunza.

Amandla...

Na DED aliyefanya mchezo wa awali ni yule yule anaitwa Beatrice na matukio yote yamefanyika siku ya Jumapili
 
..hizo fomu zinatolewa KIENYEJI sana.

..msimamizi alitakiwa achukue na nakala ya KITAMBULISHO, pamoja na anuani ya kila anayechukua fomu.

..kwa kilichotokea inatakiwa MAMLAKA za juu za Tume ya Uchaguzi, baada ya kujiridhisha kuhusu mgombea halali wa CDM, zitoe maelekezo chama hicho kipewe fomu nyingine kwa ajili ya mgombea wao.
 
Back
Top Bottom