Suala ni kuwahi?Utaratibu unasema hivyo?Acheni kuhalalisha haramu na uzembe wa DED.Alishindwa nini kujiridhisha?Fomu zinatolewa kiholela holela hivyo?Elewaneni kwenye chama chenu, kwanza huyo ni mwanachama wenu miliyemuengua kwenye kura za maoni, na yeye akaona isiwe tabu ngaoja awahi kuchukua fomu sasa hapo CCM inahusika wapi?
sasa hivi ni JacobMsemaji wa Chadema ni nani?
Maendeleo hayana vyama!
Msemaji wa Chadema ni nani?
SASA BASISuala ni kuwahi?Utaratibu unasema hivyo?Acheni kuhalalisha haramu na uzembe wa DED.Alishindwa nini kujiridhisha?Fomu zinatolewa kiholela holela hivyo?
Kwani amechukua kwa tiketi ya CCM au CHADEMA. Soma vizuri kabla ya kukimbilia kukomenti. Ishu hapa ni kuwa fomu imechukuliwa na wahuni kwa tiketi ya CHADEMA. fullstop.Hahahaaaa.......CCM bado haijatangaza wagombea bwashee huyo ni wa hapo Ufipa angalia vizuri orodha namba 2!
Nadhani anatuhabarisha sisi wengine tujue jinsi baadhi ya maafisa waandamizi wa umma bogus"robotic"Sasa huko twitter aliporipoti atapata msaada gani!
Kamati kuu ya chadema ndio yenye mamlaka ya kumteuwa mgombea wa JimboApatikane achapwe hadi anye kama yule wa arusha anayemsalimia mkapa saa hizi
Mwanachama wa ccm badala ya kuchukuwa fomu kupitia ccm anaenda kuchukua fomu kupitia chademaKwani CHADEMA wamempitisha nani Kibamba? Nimeangalia Sijaona jina wanambwela mbwela tu ...
Ofisi ya msimamizi wa uchaguzi hatoi ushirikiano ni kama kuna jambo limejificha, yaani Ofisi ya Msimamizi hajui jina, hawana picha, hawamjui kwa sura na malalamiko ya waliokuja kujitambulisha msimamizi kama mteule halali ofisi ya umma haitaki kutoa ushirikiano
Hapa Chadema wanajichanganya. Mchezo huu walifanyiwa kwa Boniface lakini inaelekea hawajajifunza.
Amandla...