Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ndio ujue kila mtu alimchukia hadi familia yakeHivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?
Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?
Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.
Jee hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tuu?
Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.View attachment 1786719
Wote wamehamia Dar..mke ametulia zake tu masaki anakula bataHahahahahahahahaha..........
Muulize familia yake inafanya nini.
Kama hata familia yake wanalipotezea.
Mkuu, hilo neno sawia.Makaburi ya ndugu zako unayakumbuka huko vihambani?
Hivi hilo hapo ni Kaburi au banda la mifugo? Hii ni aibu.Hivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?
Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?
Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.
Jee hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tuu?
Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.View attachment 1786719
Hivi wewe muda wote umelewa au kuandika ndio hujui?"Mtanikumbuka..."
Kumumisi munamumisi sana.. hayo ya kabuki nani amekuambia kwamba kuna kupelekesha familia za watu na jinsi wanaona kwao iwe hivyo?? Tuliza boli.. kwako utakuta pachafu kupita hayo yaliuokauka..
Heshimu ya watu na yao...
Huyo ni aliyekuwa mkuu wa nchi, mbona sasa mnamkana? Jee ikipita miezi sita sii hilo banda hata panya wataweka makazi?Makaburi ya ndugu zako unayakumbuka huko vihambani?
Wachaga mnapitapita sana Chato haijulikani mna tenda gani!Huyo ni aliyekuwa mkuu wa nchi, mbona sasa mnamkana? Jee ikipita miezi sita sii hilo banda hata panya wataweka makazi?
Matendo yake hayakufaAmeshafariki tumuheshimu kidogo.
Kweli kabisa liende likafagie lenyeweNenda wewe ukafagie!
Hahahaaaa.....anataka kibarua!Kweli kabisa liende likafagie lenyewe