Sidhani kama unajua CAG,Judge & Gavana,.sio watu wa kutumbuliwa kindenzi kama wengineNdugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.
Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama. Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa. Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge. Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.
Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.
Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma? serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
uko sahihiNdugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.
Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama. Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa. Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge. Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.
Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.
Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma? serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
CAG...sio kilaza wa kutumbuliwa na Jiwe kirahisi mkuuNo hicho nilichoandika ndicho kinaenda kutokea, kwa hiyo sidhani kama nitabadilisha. subiri muda siku chache zijazo utashangaa
Ni afadhari AMANI ya nafsi kuliko pesa na chochote duniani. Aende tu akapumzike,kuliko kufanya kazi kwa Mashaka na hofu.Naona umeweka akiba ya Uzi kabisa ili akiliwa kichwa uje kukumbushia uzi
anaweza kushikiwa mtutu gizani akaamriwa atangaze kustaafuSidhani kama unajua CAG,Judge & Gavana,.sio watu wa kutumbuliwa kindenzi kama wengine
...anyway_angeshatumbuliwa kitambo sana,..only that Jiwe hana ubavu huo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlivyoambiwa ELIMU ELIMU ELIMU sijui kama mlielewa
Unaujua utaratibu wa kumfuta kazi CAG?
Hiyo heading yako sasa!!!!
Labda hilo mkuuanaweza kushikiwa mtutu gizani akaamriwa atangaze kustaafu
Elimu yako ikoje?uko sahihi
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.
Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.
Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.
Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.
Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.
Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.
Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?
Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Kutokujua ni sawa sawa na kiza kinene, CAG hawezi kutolewa kwa kauli za kisiasa bali for professional misconduct au yeye mwenyewe aamue kuachia ngazi.
Nambie anatumbuliwaje CAGwala siyo akiba that's what is going to happen soon, just take heed
Hawez kushika nafasi yoyote serikalin baada ya kuachia nafasi yake ya CAGRais hana uwezo wa kumtoa CAG madarakani kwa mujibu wa sheria.
Ila kinachoweza kufanyika ni kumlazimisha kupitia mlango wa nyuma ili CAG ajiuzulu mwenyewe au wajifanye wanampa appointment na kumfanya Balozi somewhere ......... then anatumbuliwa kama alivyofanyiwa yule wa Canada!!
Awamu hii anything is possible ...!!