Hii kesi inaenda kumuumbua mnyika na mbowe hivi unafikiri hao kina dada ni wajinga mpaka walazimieshe kesi? Mnyika ndiyo alipeleka majina angekuwa hajapeleka angeshaga fungua kesi muda mrefu ya kufojiwa kwa sahihi yake kwanini Yuko kimya? Kibatala kafichwa hajui anakuja kuropoka tu hapa eti anamtaka ndugai nawaambiaga kibatala siyo mwema kwa chadema hata Sheria hazijui anatumia umaarufu tu ndiyo maana hata kesi ya mbowe ilimshinda ashukuru viongozi wa dini waliomuombea kwa mama akaachiwa angepata aibu ya mwaka na uwakili angeacha
nini Ndugai,hata Jiwe anaweza kuitwaNdugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Pole saana, hukujaaliwa stadi za uchambuzi.Hii kesi inaenda kumuumbua mnyika na mbowe hivi unafikiri hao kina dada ni wajinga mpaka walazimieshe kesi? Mnyika ndiyo alipeleka majina angekuwa hajapeleka angeshaga fungua kesi muda mrefu ya kufojiwa kwa sahihi yake kwanini Yuko kimya? Kibatala kafichwa hajui anakuja kuropoka tu hapa eti anamtaka ndugai nawaambiaga kibatala siyo mwema kwa chadema hata Sheria hazijui anatumia umaarufu tu ndiyo maana hata kesi ya mbowe ilimshinda ashukuru viongozi wa dini waliomuombea kwa mama akaachiwa angepata aibu ya mwaka na uwakili angeacha
Mkuu hujui kuwa waliingia kipindi cha yule muovu na mshirika wake Dungayeye?Ndugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Wajinga ndiyo waliwao na ndiyo weweePole saana, hukujaaliwa stadi za uchambuzi.
Yeye ndiye shuhuda wa macho na maandishi.Unamtaka huyo aliyefuata anajua nini,aliona kipi?Una stroke ya mwili au akili?Ndugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Ndugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Sijuwi Kama Kuna jitu katili Kama jiwe najaribu tuu kuwaza toka nakua mpka umri huu sijawahi ona jitu katili Kama Lile dubwana. Matendo ambayo tulikuwa tunasimuliwa alikuwa anayafanya Dikteta Hitra na nduli Idd Amin ndio alikuwa likifanya lenyewe. Na ashukuriwe Mungu mkuu na hata Kama Kuna mkono wa mwanadamu basi unastahili tuzo kwa kazi nzur iliyo tukuka.nini Ndugai,hata Jiwe anaweza kuitwa
Utajua hujuiNdugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Maamuzi ya Jaji au matakwa ya sheria?..msishangilie kabla ya wakati
..huwezi kujua maamuzi ya Jaji yatakuwa nini?
..upo uwezekano wa Jaji kukataa kuwaita Ndugai na Mahera kama mashahidi ktk kesi.
..kama mtakumbuka ktk kesi ya Mh.Mbowe Jaji alikataza jina la Mh.Hussein Mwinyi kutajwa mahakamani, au kumuita kama shahidi wa upande wa washtakiwa.
Cc The Palm Beach. Erythrocyte
Kwa nafasi ileile aliyokuwa nayo na kwa matendo yale aliyofanya sasa anatakiwa akajibuHuna akili kwani Ndugai aliwapitisha kama watoto wake au kama Spika??
Kwani kahama na ofisi yake??
Si kuna spika mwingine??
Wakati mwingine utumie ubongo badala ya miguu kufikiri.
Na chadema wanavyokuwa na akili za kushikiwa watamuita kweli.nini Ndugai,hata Jiwe anaweza kuitwa
Kesi tofauti ndio Nini!? Acha porojo. Rais mstaafu aliingia mahakama kama shahidi wa utetezi, itakuwa huyo spika aliyefukuzwa kazi! Endelea kujifanya mwehu.Hizi ni kesi tofauti.
Jaribu kwanza kuzifahamu ndio uzilinganishe.
mungu mtu uchwara Ni yule aliyeiba uchaguzi na hata mwaka hakumaliza.Kama mbowe munaemuona kama Mungu wenu kakubali uchaguzi kuwa Halali wewe ni nani mpaka ubishe?
Wahi chato kalale pembeni yake wewe. Legacy inazidi kupopolewa na ccm wenzako.Na chadema wanavyokuwa na akili za kushikiwa watamuita kweli.
Huwezi kuwa unafahamu ndio maana ukaleta huo mfano.Kesi tofauti ndio Nini!? Acha porojo. Rais mstaafu aliingia mahakama kama shahidi wa utetezi, itakuwa huyo spika aliyefukuzwa kazi! Endelea kujifanya mwehu.
Kibatala anatakiwa a deal na office ya Bunge na siyo Ndugai!!Kwani wewe kada wa CCM, wakati huo wanapokelewa akina Halima Mdee, ulikuwa hujui kuwa Spika wa Bunge alikuwa Ndugai na wala hakuwa Tulia Ackson?[emoji28]